Pole na samahani mkuu.
Sikujua kama hii itakuudhi.
Kuhusu utani mimi na wewe sio mara ya kwanza..tangu tukiwa uzi wa likes.
Mimi sitakulaumu siku huwa hazifanani huenda haikuwa siku njema kwako.
Nikujuavyo siku zote u mtu poa na muungwana.
Iwapo kwa namna yoyote imeonyesha nimekudhalilisha..narudia kukuomba radhi na amani itawala.
Sisi ni watu wa kupita na siku zote tuko hapa kwa ajili ya kufurahi kwani siku za mwanadamu ni chache ..ndio masna hapa kufurahi na si vinginevyo.
Pole ndugu.
Na uniwie radhi
Shimba Ya Buyenze