Usinikumbushe,
Kipindi nipo chuo kuna rafiki yangu alikuwa anatengeneza pilipili moja nzuri kweli nilikuwa naitumia hata nikiwa nanywa chai na maandazi asubuhi.!!
Bhaaana bhaaana..! yaliyokuwa yananikuta 'ofisi kuu', nilikuwa nalia machozi huko ndani, kitu kinawasha mpaka basii, najiapiza siigusi tena, wooii nikirudi duniani nasahau naila tena like nobody's business..!!