Selfika na JF: Snap it. Show it

Sa nifanyeje na gari sina jamani....?

Btw, sio kwamba mimi ndio ninunue ka bajaj kangu ili nijiendeshe mwenyewe?? πŸ€”πŸ€”
Mwanamke mrembo kma wewe unajiendeshaje bwana...wee unatakiwa unatulia tuli huko nyuma unapiga picha zako na ku ipload hapa selfika
 
Haha,
Shukrani zangu za dhati nazituma kwa kibagia changu Depal popote alipo,
Ujumbe: tukumbukane kwenye masuala muhimu kama haya'..!!

thank you C'ssy, it's my lucky day real..!πŸ₯°πŸ₯°
Nitaanza kuwa nakutag… niambie tu unapenda kuwaona kina nani wakitupia, ili siku wakitupia chap nakuita πŸ˜‡
 
Nachoshukuru nimekuwa ya embe, siyo juice ya pilipili kama wewe..!
Uje ijumaa kula biriani ya kuku.!
Kiazi mbatata wewe..!!
Niko India… sasa sishangai kabisa mie kuwa juisi ya pilipili πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Ngoja nitafute hela.. au patakuwa na free biriani kwa sisi staff?
 
Nitaanza kuwa nakutag… niambie tu unapenda kuwaona kina nani wakitupia, ili siku wakitupia chap nakuita πŸ˜‡
Haha,
Nilivyo kambeya si nitataka nione kila kiumbe hai humu ndichi..!!
 
Niko India… sasa sishangai kabisa mie kuwa juisi ya pilipili πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Ngoja nitafute hela.. au patakuwa na free biriani kwa sisi staff?
Usinikumbushe,
Kipindi nipo chuo kuna rafiki yangu alikuwa anatengeneza pilipili moja nzuri kweli nilikuwa naitumia hata nikiwa nanywa chai na maandazi asubuhi.!!

Bhaaana bhaaana..! yaliyokuwa yananikuta 'ofisi kuu', nilikuwa nalia machozi huko ndani, kitu kinawasha mpaka basii, najiapiza siigusi tena, wooii nikirudi duniani nasahau naila tena like nobody's business..!!
 
Mwanamke mrembo kma wewe unajiendeshaje bwana...wee unatakiwa unatulia tuli huko nyuma unapiga picha zako na ku ipload hapa selfika
🀣🀣🀣🀣 Nisije nikakosa sababu ya kutotupia sio??😁😁

Haya uza vhap niwe napata lift πŸ€“
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ sasa kujitesa vipi!? Si ungeachana nayo tu hata kama ni tamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…