Selfika na JF: Snap it. Show it

...
Nilienda kununua matunda nikalalamika sipungui wakanishauri hivyo nitapungua
... Theory ni nyingi kwa kweli .

Mabaharia siyo watu sis....

Kupungua labda uelemewe na gwaride....

Na afande awe na moyo wa Kikurya gwaride likianza ni gwaride kweli hamna kupumzika kunywa maji....

Na kweli ungepungua...japo kisaikolojia siyo poa kwa sababu unaweza ukawa unapungua mwili huku unadhoofika ndani na hata kuwa na hofu na trauma ya magwaride huko mbele ya safari.....
 
Nishatupia msukuma where were you lakini???
Niko bize kidogo. Jumamosi hii binti yangu anamaliza Middle School anakwenda High school. Nakwambia nakomaje. Kuna kwenda kutengeneza sijui nywele. Hivi ndo tumetoka kwenye kucha. Bado kuna gauni sijui lifanyweje. Na kesho kuna appointment ya kutengeneza kope na kupiga picha. Watoto wa kike kazi sana. Lingekuwa liJunia yaani ingekuwa ni haircut tu barbershop kazi kwisha....

Ni valedictorian na anataka ang'are sawasawa. Shida tupu yaani
 

Ah kweli sio wa mchezo
Yaani sioni connection kabisa kati ya vitu hivyo viwili ..
Tushazoea mtu akitaka apungue afanye mazoezi na afate diet hivyo atapungua and not otherwise .
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!! Mpe uhuru bany girl afurahie bana! Juniaz hawana muda wa kuremba!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…