cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,243
Tutaonana lunch time, ila utoke na hizo zawadi.😅😅😅Leo kagoma kuniletea simu yangu hotelin, kaishia reception na huku pia kuna zawadi zangu kwa room 😅😅
Hamsigiaki kilio cha Wigelekelo 🙄🙄 aje na tupa kukwanguaNiangalizie angalizie mwenzio kunaota kutu shoga🤣🤣🤣🤣🤣!!
Suruali Kaa La Ngoswe![]()







yaan hii picha kila nikiiona sina mbavu lol.Eeh hapo sawa, maana ni mliniacha mataa ya Ubungo😂😅😅😅 tutayamaliza tukikutanaaa badae
😅😅 Nimeishatoka ungeniambia mapemaaa, inabidi tukimaliza kule ukazichukue na ku test ila kama hazijakaa sawa nizirudisheTutaonana lunch time, ila utoke na hizo zawadi.
Asa sio unajasahaulisha maksudi ili nije huko kwa hoteli😅
We nakujua
Embu irudie kipenzi 😘😘
Santee dea,![]()
Basi nilikua na pilika sikuonaOoh aliweka mida ya usiku
Mimi pia sikuona kipenzi naomba irudiwee![]()




wee hapo ndo utulie tyuuh. 🤸🤸🤸🤸🤸🤸😘😘😘!!! Umeenyooka kama rula ausio!!!🤣🤣🤣wee tenaaaah?
Unaona mambo yako😂😂😂😅😅 Nimeishatoka ungeniambia mapemaaa, inabidi tukimaliza kule ukazichukue na ku test ila kama hazijakaa sawa nizirudishe
Sikuona eti, au uliwah kufutaWee jana mbna ulikuwepo hapa, hukuona??