Selfika na JF: Snap it. Show it

Kama nilituma voice note, imagine nilijitoa mhanga nikaji record naongea, ujue nilijilipua cause sauti inaweza kutumika ku authenticate au ku verify identity ya mtu, niliishia kupata emoji 😳..

We nihadithie tu..
 
Kama nilituma voice note, imagine nilijitoa mhanga nikaji record naongea, ujue nilijilipua cause sauti inaweza kutumika ku authenticate au ku verify identity ya mtu, niliishia kupata emoji 😳..

We nihadithie tu..
Voice ni rahisi sana kumtambua mtu.. ulishtuka haraka ..

Namna ilivyo kuwa, umeisha ona picha kama kitamaduni unakuta mdada kala kitenge ( min ) na kujifunga kwenye maziwa wale huwa wanapaka mafuta wanang'aaa ? wanapiga picha nzurii ndio kitu alicho kishusha madama shnagazi mahondaw hapa ni mtafutano
 
Nimepata picha, hio inanitosha kabisa, kwa hio ametoka kuoga sivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…