Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

We ni mtu poa sana Mjep, mie sina shida na wewe you have made it clear, again I have hurt myself by hurting you..., sorry my friend.
peace mkuu.
Nakushukuru kwa hilo chief 🙏🙏🙏
Amani ni muhimu sana kaka mkubwa

Sasa acha niwatafutie ma manzi wanzurii wa kuwakojoza mkafurahi au hamtaki plus hotel za nyota saba au hamtaki au basi 🤭🤭🤭 hampendi hayo mambo
 
😅😅😅😅😅 Kwa kuangalia rangi zao pia unajua kuna rangi za watu humu ni dk sifuri tuu chaali, kuna wengine wanaweza kukufanya uwahi na kuna wengine utanyooka unaweza pigaaaaa weeee kama usipojua formula ya A = Z una fail
Mkuu inabidi unifundishe kuangalia, mkuu utakua unajua mengi sana... hatari sana.
 
FB_IMG_1653317350187.jpg
Kuna wakuu huku juu wameweka mada wacha nikae kwa kupumzika nione kama nitaondoka na kitu🙄🙄🤣😋
 
Bosi leo naona upako kama wote. Hivi na huko visiwani kuna makanisa wanachochea muziki na yale masipika yao ya kutetemesha mpaka madirisha na kuabudu kwa uhuru kabisa?

Hapo ni geto ndugu yangu, naitengeneza furaha. Lakini makanisa yapo mengi tu. Upako upo siku zote sema kiwango kinatofautiana siku na siku. Tokea jana niko full charged.
 
Back
Top Bottom