Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,930
- 136,681
Avatar yang,tu share basi, naona inakunyima usingizimatusi,tusi gani tena?,
hio avatar inaongea

Avatar yang,tu share basi, naona inakunyima usingizimatusi,tusi gani tena?,
hio avatar inaongea

Heeee ndio unaringaaa😅😅alafu wacha nimpigie video call kwanzaaa hapaaa 😅😅😅😅
Nashukuru kwa kunipa ruhusa, nilikuwa silali.Avatar yang,tu share basi, naona inakunyima usingizi![]()
Nilishaachana nazo.Sijui yuko wapi aje kuiwahi kabla wajuba hawajakutana nayo!
Kama kawaida yakoAlafu atakuja aseme nimemhujumu🙌
Atakuwa hakojozwi, nakutafuta mkuu unipe connection..Wabishi hawa 😅😅😅 ambae anatoa favor ni mmoja tu humu .. ukichelewa ukijiliza kidogo unapewa unapewa tena
Uanze kulala sasa,kuamka hadi nikung'ateNashukuru kwa kunipa ruhusa, nilikuwa silali.

nyie leo kichaa changu kilipanda mara dufu, nimemuosha mtu huko, nusu atapike, akabaki anashilikia tumbo kuuma, na nilivyo mkaksi mbele ya watu.
Kuna mkaka akawa anasema mie nna mdomo mchafu, nkamjibu tena mchafu kweli, hata choo cha manispaa kinasubiri.
Nkawaona wanamuambia anipeleke Dean of Students, ndo nasubiri mrejesho, uzuri wake text zake zote ninazo.



Mdogo wangu nimemuomba mama mchungaji akutunzie na yeye akaingia mitiniKama kawaida yako
Unasubiri nisiwepo ndio uweke.
Mdogo wangu nimemuomba mama mchungaji akutunzie na yeye akaingia mitini
Nikakutag mwenyewe hupatikani

Salama shangazi,Mjomba salama?![]()
Bora usimalizie tuu 😀😀Una nyweleee traamu una kasuri kakuzinguliwa alafu raha ukizinguliwa yaani unakuwa au basi 🔥🔥😒
😅😅😅😅 kwani mkojozaji mwenyewe kafunga PM mkuu master Post M-alone ... maana naona leo kaamka wa moto hatari mnatumia na avator mokoo 🔥🔥🔥🔥Atakuwa hakojozwi, nakutafuta mkuu unipe connection..
whaaat, aunt? am I ?Aunt umetaka sababisha nivunje mguu kwa kukimbia .....
🤭🤭🤭🤭 nitakupata tu mwanzaaa nitakunyanyasa na mieHeeee ndio unaringaaa😅😅
Na me nampigia Big boy wangu😊
Staki stress
😀😀 sina deni😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Irudiweeeeeee.......
Irudiweeeeeeeeeeee.....