Selfika na JF: Snap it. Show it

popote ulipo
,,unawakilisha mafisi


Kojoza wakojoze,
Hapana ujue fisi hawachagui, mie nina type zangu, aki qualify lazima nimgeuze kikojozii, sinaga masihara kabisa, kuzamia kuitafuta chumvi ndio zangu πŸ˜›... mimi huwa siinyonyi tu naila kabisa kama nyama nakunywa na mchuzi..πŸ˜„
 

Vipi yule dada shos
nyie leo kichaa changu kilipanda mara dufu, nimemuosha mtu huko, nusu atapike, akabaki anashilikia tumbo kuuma, na nilivyo mkaksi mbele ya watu.

Kuna mkaka akawa anasema mie nna mdomo mchafu, nkamjibu tena mchafu kweli, hata choo cha manispaa kinasubiri.

Nkawaona wanamuambia anipeleke Dean of Students, ndo nasubiri mrejesho, uzuri wake text zake zote ninazo.
 
Nyie vibinti ni visumbufu sana, ila tungekuwa tumeomba kwa shangazi zetu safi hakuna habari za jioni.. mkwendreee zenu 😏😏😏
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Me ubinti nishavuka miaka 20 iliyopita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…