ππππ Mie kutokulala kawaida sanaaa .. nina capacity ya kukaa macho bila kusinzia siku nne kwa mfuatano na hili kuna siku nilifanya nikiwa na kazi mikoa mitatu kwa wakati mmoja na yote ilikuwa na uzinduzi sikulala na nilikuwa naendeshaa gari hadi walinivulia kofia maana huwa siamini kuendeshwa na mtu πππ