Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,242
- 90,420
hahahaha.dogo utakutana na anko zako humuAhh mm mkubwa uncle![]()
hahahaha.dogo utakutana na anko zako humuAhh mm mkubwa uncle![]()
Nakuaminia madam na leo sibandukiiii


mkalale sio asubuhi hii hatujanywa chai 
hahahahahaWakaribie sana!!😜
Bosi Ledi hana maneno mengi. Picha za mtandio bila shaka mtapata tu!Mkuu usituangushe tusikose vitu hivi hivi
Hahahaaaa!! Najua huwezi weka selfii yako hapa hadi Mkesha wa mwaka mpya!Huu sasa mtihani dadeki![]()
Nije?Wakaribie sana!!![]()
Weeeehhhh Sio siku hizi msukuma!!Bosi Ledi hana maneno mengi. Picha za mtandio bila shaka mtapata tu!
Hahaha embu mtupie self zenu tuonehahahaha.dogo utakutana na anko zako humu
Mie nataka utubariki selfii hapa tu msukuma! Sio kuleNije?
Aunt nakwambia usingizi ushaisha hivyoomkalale sio asubuhi hii hatujanywa chai
![]()
Janja janja sana hao ndio imetoka hio!!Hahaha embu mtupie self zenu tuone
Haha kwann au ni watu wasiojulikanaJanja janja sana hao ndio imetoka hio!!
Kumbe na mm nimeghairi situpii TenaJanja janja sana hao ndio imetoka hio!!
Mimi umri umenitupa sana. Miaka 76 si mchezo ndugu zangu. Mnivumilie tuJanja janja sana hao ndio imetoka hio!!



Usitufanyie hivyo aunt siyo vzr tafadhaliKumbe na mm nimeghairi situpii Tena
Mimi umri umenitupa sana. Miaka 76 si mchezo ndugu zangu. Mnivumilie tu![]()
Yaniiii hata sijui kwanini hawataki kutumaHaha kwann au ni watu wasiojulikana
HahahaKumbe na mm nimeghairi situpii Tena
Tukutane mwakani tutaselfika😂Hahaha
Kabisa mdogo wangu!Tukutane mwakani tutaselfika😂