Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Unarudi kwenu lini?hadi atokee mstaarabu nitakuwa nisharudi kwetu
Unarudi kwenu lini?hadi atokee mstaarabu nitakuwa nisharudi kwetu
tabasam na Madam ✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️Black and White
Bonge la tabasam😘
TupooMje niwabariki sekunde 20 zinawatosha
Mwakani Mungu akipendaUnarudi kwenu lini?
tupo hapaaa tupia vituuu 😘😘Mje niwabariki sekunde 20 zinawatosha
Mimi na mpwa wangu Ahmed tutakuwahi. Nitamleta!Mwakani Mungu akipenda
JF humu hakuna anayekula miguu ya kuku. Humu kila mtu keshatoboa maisha. Unaweza hata kujilaumu kuwa mbona mi maisha hayajaniendea vyema kama wenzangu?natumain kunasiku mtu atashtuka anashikwa bega wakt anakula miguu ya kuku na aliwaambia jf meneja wa kampun fulan kumbewatu wa selfika wanatembea na pichayako bhna
![]()



hahaha.miguu ya kuku ndo yenyewenatumain kunasiku mtu atashtuka anashikwa bega wakt anakula miguu ya kuku na aliwaambia jf meneja wa kampun fulan kumbewatu wa selfika wanatembea na pichayako bhna
![]()
Kitu live bila chengaaaMuende kanisaniView attachment 2233717
tupo tunakula miguu ya kuku mkuu.utumbo na vichwa vya kukuJF humu hakuna anayekula miguu ya kuku. Humu kila mtu keshatoboa maisha![]()
wishing ya Kanisanikaribuni
Amefuta haraka mno. Injinia peke yake ndo kaona!sophy27 sijaona jamani rudia afu ufute!!
Aunt usiseme kwa nguvu watasikia km nimepita live japo na kaukunguKitu live bila chengaaa
Ahsante sana aunt![]()

Wajeda nyinyi ndo kabisa mnapewa kila kitu buretupo tunakula miguu ya kuku mkuu.utumbo na vichwa vya kuku



Tumepitwa hapa hapa dah!Aunt usiseme kwa nguvu watasikia km nimepita live japo na kaukungu![]()