Selfika na JF: Snap it. Show it

Yani mimi naona browser ndio naifaidi JF vizuri
Browser mi siwezani nayo kabisa. Huwa naitumia mara moja moja tu hasa nikitaka kupandisha attachments hasa vitabu na tuvideo tufupi fupi...

 
Amen. Ndio Mwana wa Mungu. Pale msalabani kuna mambo mengi sana ( spiritual yalitokea baada ya ile kauli ya imekwisha ) ndio maana unaona hata jua lilipatwa na giza likazima kwa masaa matatu ( masaa matatu kulikuwa na shughuli kubwa sana katika ulimwengu wa roho katika ukombozi wa mwanadamu ). Msalaba umebeba deep mysteries ambayo wachungaju wengi wameacha mafundisho yake ni wachache sana ambao unaweza kutana nao leo wakafundisha the mysterious behind the cross
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…