self employement job post

mbenye

Member
Mar 26, 2011
26
0
wana JF napend kuwashirikisha katika ajira binafsi ambayo ni rahisi na haitaji mtaji mkubwa, inaitwa NETWORKING MARKETING BUSSINESS ni ajira mzuri kwa wenye ajira na wasiokuwa nayo huwa hairumii mda wako ni part time, kwa maelezo zaidi nitafute via.0784938465or 0714596587
 
Fafanua vizruri hapa hapa bila kuingia gharama ya 3rd part maana wengine wanaingia gharama za kuingia internet cafe au kununua vocha ili simu zao ziwe na internet sasa ukisema tukupigie ndio utoe mchanganuo inakuwa sio ishu hata kidogo, let us try to minimize the cost of living, Gharama za upigaji simu TZ japo zimeshuka kwa sisi wengine bado tunaona twaendelea kuibiwa so guys mnapoleta ishu ichanganue kabisa......
Najivua Gamba mie sikupigiii
 
Fafanua vizruri hapa hapa bila kuingia gharama ya 3rd part maana wengine wanaingia gharama za kuingia internet cafe au kununua vocha ili simu zao ziwe na internet sasa ukisema tukupigie ndio utoe mchanganuo inakuwa sio ishu hata kidogo, let us try to minimize the cost of living, Gharama za upigaji simu TZ japo zimeshuka kwa sisi wengine bado tunaona twaendelea kuibiwa so guys mnapoleta ishu ichanganue kabisa......
Najivua Gamba mie sikupigiii

Swadakta! nimekugongea mkuu.
 
Nendeni kwenye thread hii hapa ya leo Hello Business Seekers,https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/143309-hello-business-seekers.html
 
wana JF napend kuwashirikisha katika ajira binafsi ambayo ni rahisi na haitaji mtaji mkubwa, inaitwa NETWORKING MARKETING BUSSINESS ni ajira mzuri kwa wenye ajira na wasiokuwa nayo huwa hairumii mda wako ni part time, kwa maelezo zaidi nitafute via.0784938465or 0714596587

unapoweka nafasi za kazi u have to elaborate and give important details sio mnaweka nafasi za kazi at the end of the day watu wanapiga simu kumbe ni kazi za kuuza products za alovera barabarani,be serious guys msicheze na mida ya watu
 
wana JF napend kuwashirikisha katika ajira binafsi ambayo ni rahisi na haitaji mtaji mkubwa, inaitwa NETWORKING MARKETING BUSSINESS ni ajira mzuri kwa wenye ajira na wasiokuwa nayo huwa hairumii mda wako ni part time, kwa maelezo zaidi nitafute via.0784938465or 0714596587

Unalala wanaJF walikoamkia....acha ubinafsi!!
 
wana JF napend kuwashirikisha katika ajira binafsi ambayo ni rahisi na haitaji mtaji mkubwa, inaitwa NETWORKING MARKETING BUSSINESS ni ajira mzuri kwa wenye ajira na wasiokuwa nayo huwa hairumii mda wako ni part time, kwa maelezo zaidi nitafute via.0784938465or 0714596587

Unalala wanaJF walikoamkia....acha ubinafsi!!
 
Back
Top Bottom