Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,502
- 51,098
Kassim Majaliwa bado anatosha sana, ameitendea haki nafasi yake
Hapana ana dharau sana mi nimeuliza kama kusherehesha yeye kaja kwa kijeli za dharau
Mkubwa CCM ni chama kubwa, kuna njia za kuandaa rais, mbinu ya alivyopatikana JK will never ever repeat, ila njia iliyotumika kumuandaa na hatimaye kumpitisha JPM will forever be used. Hivyo hata mroge vipi hamtakuja kufahamu exactly rais ajaye. Hii inasaidia kumpunguzia rais ajaye kuwa compromised na wahuni. Faida ni jinsi Dkt Magufuli alivyo, he is so honest, humble na mwenye uzalendo wa hali ya juu wa kuipenda nchi yake, ametuvusha na sasa tunajisikia fahari ya kuwa watanzaniaKuanzia sasa Ndugu Selemani Jaffo jiandae kuwa na Majibu Kamili juu ya hayo Mambo Mawili makubwa niliyokuambia katika Headline yangu hapa.
Anajifanya ana jazbaNaona hata kwenye comment yangu kaniwakia ikabidi ninyooshe mikono juu
kwakuwa hajui Kuongea Kuongea ana Kigugumizi
Anajifanya ana jazba
majaliwa kwani atataka kurejea tena mjengon tena so ndo muda wa kupumzikaEndelea Kujidanganya tu na ninakutaarifu hapa hapa kabisa kuwa Majaliwa ana 5% tu za Kurejea kuwa Premier 2020 lakini Jaffo ana zote 95%.
Kuanzia sasa Ndugu Selemani Jaffo jiandae kuwa na Majibu Kamili juu ya hayo Mambo Mawili makubwa niliyokuambia katika Headline yangu hapa.
Jaffo Hana presidential charisma Hana hio kitu
CCM Kuna watu kibao wako vizuri
How comes Jafo over Hussein Mwinyi and January Makamba ,how comes? Big Mistake
CCM tulie this time leteni mtu aliepikwa from the beginning msitulee mtu aliibuka juu kwa juu kiss dini inambeba tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ubaguzi sijui kautoa wapi na alikuwa anawaza nini sijuiHuo ndiyo ugonjwa sugu uliyo jazana kwenye mioyo ya wana lumumba, ubaguzi kwao ndiyo silaha pekee waliyo bakia nayo.
Huwezi kuwa lundo la mawaziri wakuu wastaafu uncessarily. Majaliwa is there up to 2025Endelea Kujidanganya tu na ninakutaarifu hapa hapa kabisa kuwa Majaliwa ana 5% tu za Kurejea kuwa Premier 2020 lakini Jaffo ana zote 95%.