Mwigulu awaengua Waziri Mkuu na Naibu waziri Mkuu kwenye safu ya kumsaidia Rais katika uchaguzi 2025. Je, amefanya kwa bahati mbaya au amekusudia?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,106
Kupitia ukurasa wa X Mhe. Mwigulu nchemba ametaja safu itakayoongoza mchuano wa uchaguzi 2025. Amewataja Mh.SSH, Akamtaja Kinana, Mzee Mpango na Nchimbi huku yeye akijitabiria kuwa kiungo mchezeshaji.

Katika safu hii Waziri Mkuu anaonekana kutokupewa nafasi na Mwigulu kama ilivyo kwa Naibu wake. Tukitumia kauli ya wahenga ya limtokalo mtu ndilo lililomjaa means Majaliwa na Biteko siyo wachezaji sahihi.

Unadhani Mwigulu yupo sahihi? Mtizamo wake una tija?
 
Kupitia ukurasa wa X Mhe. Mwigulu nchemba ametaja safu itakayoongoza mchuano wa uchaguzi 2025. Amewataja Mh.SSH, Akamtaja Kinana, Mzee Mpango na Nchimbi huku yeye akijitabiria kuwa kiungo mchezeshaj...
Yupo sahii kwa Mahitaji yake
 
Kwani yeye hana mpango wa KUANDIKA kwenye mawe hiyo 2025?

Kweli asali mixer viungo na vikorombwezo vya kizimkazi + Dipiiwedi, ni balaa!
 
Kupitia ukurasa wa X Mhe. Mwigulu nchemba ametaja safu itakayoongoza mchuano wa uchaguzi 2025. Amewataja Mh.SSH, Akamtaja Kinana, Mzee Mpango na Nchimbi huku yeye akijitabiria kuwa kiungo mchezeshaji.

Katika safu hii Waziri Mkuu anaonekana kutokupewa nafasi na Mwigulu kama ilivyo kwa Naibu wake. Tukitumia kauli ya wahenga ya limtokalo mtu ndilo lililomjaa means Majaliwa na Biteko siyo wachezaji sahihi.

Unadhani Mwigulu yupo sahihi? Mtizamo wake una tija?
Wote wahuni tu
 
Kupitia ukurasa wa X Mhe. Mwigulu nchemba ametaja safu itakayoongoza mchuano wa uchaguzi 2025. Amewataja Mh.SSH, Akamtaja Kinana, Mzee Mpango na Nchimbi huku yeye akijitabiria kuwa kiungo mchezeshaji.

Katika safu hii Waziri Mkuu anaonekana kutokupewa nafasi na Mwigulu kama ilivyo kwa Naibu wake. Tukitumia kauli ya wahenga ya limtokalo mtu ndilo lililomjaa means Majaliwa na Biteko siyo wachezaji sahihi.

Unadhani Mwigulu yupo sahihi? Mtizamo wake una tija?

Tatizo la brother wetu huyu wa Ilboru ni kufikiria madaka sana. Lengo lake ni kuwa Raisi siku mmoja. Lakini kama Lowassa ilivyomtokea hata fanikiwa kwasababu brand yake inaonekana ni kuhusu yeye zaidi kuliko nchi. Pili ana dharau na hili litamsumbua
 
Back
Top Bottom