Selelii agoma kurudi Bungeni!?

Selelii agoma kurudi Bungeni!?

Status
Not open for further replies.
mkuu soma kwanza post za wenzako, hutajiuliza swali hili.

1) Nashangaa na nitaendelea kuwashangaa wale wote wanaowapuuza wabunge waliotoa mchango mkubwa kwa mambo ya kitaifa. Nashangaa tunapotaka kuwa na wabunge wa design ya Rostam Aziz (anayetekeleza baadhi ya mambo jimboni kwake kwa uwezo/pesa zake lakini hana mchango katika masuala ya kitaifa).

2) dhana ya kuwashambulia, kuwaponda (kama ilivyo dhamira ya zyansiku ni hatari sana kwani itazalisha wabunge waoga kutetea masuala ya kitaifa. You can imagine bila akina Seleli kashfa za EPA, Richmond na Kiwira zisingefika popote. Hoja na Kelele za akina Dr. Slaa na wapinzani wenzake haziwezi kuzaa matunda bungeni bila kuungwa mkono na wana-CCM.

3) Ninawachukia wabunge waliotayari kuhongwa, kutumwa, kutumiwa nk ili kuhujumu Taifa eti wanataka ku-concentrate na masuala ya jimboni kwao, hawa hatuwahitaji. Taifa linapita katika kipindi kigumu cha ufisadi, tunawahitaji wabunge waliotayari kupambana na ufisadi.

Hata mimi nashangaa wale wote hapa wanaowatetea wabunge ambao hawajafanya lolote kwenye majimbo yao.

Mbunge mzuri anachanganya akili ya kwenye jimbo na ile taifa. Kumbuka yule mbayuwayu wa JK, tumia akili ya Mgaya na ya kwako.

Ni rahisi mno mtu kupiga kelele za mambo ya kitaifa kwasababu haziendani na utekelezaji. Kwa mbunge utekelezaji uko kwenye jimbo lake na wengi huko ndio wanachemsha na badala yake kuwa kwenye TV kila siku wakijifanya wanatetea maslahi ya taifa. Kama unaweza kutetea maslahi ya taifa kwanini ushindwe kutetea maslahi ya jimbo lako?

Mbunge anayeshinda kufanya mambo ya jimbo lake tu HAFAI!
Mbunge anayeshinda kufanya mambo ya taifa tu HAFAI!

Jimbo plus Taifa ni kidedea!
 
2355800.jpg
Nimempata kuleee wavuti,
 
Mzee Mwanakijiji,

Kama hujui majibu wacha mimi nikusaidie kujibu; kama una majibu ila unamtega Dr basi ulegee!

a. Hakuna chombo kinachotenda haki Tanzania, sio kamati ya Richmond, sio Lowassa, sio JK, sio katibu wangu wa kijiji. Kila anyekuwa na nafasdi huitumia kumlima aliye chini yake. Haki itafute huko huko majuu, huku kwetu hata haki ya kufa na kulazwa kwenye kitanda cha milele pia inaweza kunyang'anywa na ukaishia kusua sua Mortuary.

b. Hata kama sijaridhika nifanye nini? Niunde ya kwangu? Hiyo kamati imeundwa na rais, sasa unataka na mimi niwe rais? Mbona Dr. Slaa hajaridhika na amefanya nini zaidi ya kupiga kelele zisizo na majibu bungeni? Maoni yangu kwenye hili hayana maana yoyote, hayakuongezei wewe wala wasomaji wako tonge la ugali wa muhogo. Badala yake yanaongeza chuki tu na kusababisha watu wengi kuchukia na kufa kwa pressure. Mwenye maamuzi haya ni rais wa nchi na bahatii mbaya tulimchagua kwa uzuri wa sura yake na wala sio uzuri wa matendo yake. Hivyo kuridhika au kutokuridhika kwangu nitakuonyesha kwenye kisanduku cha kupiga kura ya rais.

c. Sasa kama serikali imeficha Meremeta, you damn waandishi wa habari! mpo kwa ajili ya nini? Nendeni mkafukue kule walikoficha kisha tuanikieni wote tuone. Sasa unataka mimi nisiridhike na baada ya hapo niende kufukua huo uchafu ulikofichwa? Mimi ni daktari bwana, siogopi kuufutwa uchafu ulikojificha. Huwa nakagua kinyesi, napitisha mkono kwenye ile kitu inayoliwa usiku ili niangalie kama ni nzima au la. Unafikiri nitashindwa kutumbukiza kono langu kwenye hii chafu chafu ya Meremeta?

d. Aafadhali amejiuzia yeye kuliko angewauzia wageni. Hivi mzee Mwanakijiji wewe vipi hujui deals za nchi hii? Kuna deals kuanzia kwa Matona mpaka kule Ikulu. Leo mimi nimefanya deals zangu tatu, narudi home kama shujaa kwa familia na watoto wangu. Wasio jua deals wamekimbilia Ulaya baada ya hapa kuwashinda. Kwa tulioko TZ, deals ni sehemu ya maisha yetu. Tunazidiana speed tu. Njoo Bongo na ukamatwe pale Morogoro kwasababu gari lako halina fire extinguisher; traffic anakuambia safari hii haipo tena labda utoe 50,000 nikutafutia hiyo kifaa. Utafanya nini?

e. Uza yote hayo kwa makaburu bana! Waswahili tumeroga hatujui kitu chochote. Uliona wapi wenye akili wanakimbia nchi yao ili wakabebe mabox na kuwaachia wageni wanafaidi nchi yao? Watanzania wote bana! ni vichaa, akili zetu kama za yule mbwa, anabweka kwa mbali huku mwizi anapakua asali tu. Tunawaona wezi kwanini tunapigia kelele USA na sio kuja hapa Manzese tushirikiane na akina Dr. Slaa. Kwanini tunaunga mkono vyama hewa ambavyo hata havijazaliwa badala ya kuunga mkono chama kama CHADEMA ambacho kiko miaka mingi hata kama ni cha ukoo? Ukitaka kushiriki unaenda kuoa mjuu wa Mtei, usijali hata ukiwa na mke tayari, sisi hapa mitala inaruhusiwa. Karibu viongozi wetu wote wana mitala, hata mheshimiwa rais ana kamtala kake anavinjari usiku usiku na kwenye facebook yake anaweka busy. Ukisikia mbongo anasema yuko busy, jua anatongoza au anshughulikia totoz! mpya. Walinzi wanaachiwa washughulikie ile mama ya zamani! Zuma style.


f. Hiyo sheria ya kuhujumu uchumi lini ilifanya kazi? Sasa unataka sheria iliyofeli sasa tuitumie kwa mafisadi ili ifeli zaidi? Kwanza mafisadi wote ni marafiki wa raisi sasa unataka mimi nifanye nini? Unataka nikosane na raisi wangu? Hapana bana! hawa mafisadi washughulikieni wenyewe huko mitaani kama mnavyochoma moto vibaka. Mkiwaleta kwetu wabunge tuwajadili, tutawaachia maana ni wenzetu au wametusaidia pesa za kampeni zetu. Chomeni moto huko huko kwenu kwa kutumia njia nyingi. Wengi wao wanapenda ngono, wapelekee totozi wenye ngoma, wengi wanapenda kitimoto, ongezeeni fat humo baada ya muda pressure ipande na kuwaua. Wengi wanapenda miti shamba, ongezeni na ile mionzi ya Warusi.

buckreef,

Maswali aliyouliza Mwanakijiji siyo rahisi kujibiwa na Mbunge mtarajiwa kama unavyodhani/ulivyojibu. Manake umejibu kama mpiga kura, in short, hujamjibia/kumsaidia mbunge mtarajiwa!

Jaribu kuvaa viatu vya mgombea and you are facing the nation.
 
Hongera sana kwa kujitokeza kugombea! Kwa vile nafasi unayotaka kugombea ni ya Ubunge ambao utagusa taifa zima (kwa kupiga kura kwako, kutunga sheria n.k) ningependa kuelewa mambo kadhaa au msimamo wako juu ya mambo kadhaa.

a. Unalichukuliaje sakata la Richmond, Je aliyekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa alitendewa haki na Kamati Teule au la au alionewa?

b. Unaridhika na utaratibu wa kuunda kamati kushughulikia ufisadi wa Benki Kuu katika akaunti ya EPA?

c. Je unaridhika na jinsi serikali imeamua kuficha kuhusu Meremeta na ukiwa Mbunge utafanya nini ili watu wajue ukweli kuhusu kampuni hii?

d. Unakichukuliaje kitendo cha Rais Mkapa kujiuzia mgodi wa Mchuchuma yeye na waziri wake wa Madini? Je avuliwe kinga ili achunguzwe na hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yake?

e. Je nini kifanyike kushughulikia matatizo ya utendaji kwenye:

- Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
- Tanesco
- ATCL
- TRL

f. Je sheria ya Kuhujumu Uchumi na Mitandao ya Uhalifu itumike kuwashughulikia wanaoshtakiwa na vitendo vya ufisadi? kwanini?

Asante.

Mheshimiwa mtarajiwa kigwangalla, natumaini MKJJ amekupatia nafasi muafaka ya kuonyesha nia yako kwa dhati!!
Uwanja wako sasa...
 
Mzee Mwanakijiji,

Kama hujui majibu wacha mimi nikusaidie kujibu; kama una majibu ila unamtega Dr basi ulegee!

a. Hakuna chombo kinachotenda haki Tanzania, sio kamati ya Richmond, sio Lowassa, sio JK, sio katibu wangu wa kijiji. Kila anyekuwa na nafasdi huitumia kumlima aliye chini yake. Haki itafute huko huko majuu, huku kwetu hata haki ya kufa na kulazwa kwenye kitanda cha milele pia inaweza kunyang'anywa na ukaishia kusua sua Mortuary.

b. Hata kama sijaridhika nifanye nini? Niunde ya kwangu? Hiyo kamati imeundwa na rais, sasa unataka na mimi niwe rais? Mbona Dr. Slaa hajaridhika na amefanya nini zaidi ya kupiga kelele zisizo na majibu bungeni? Maoni yangu kwenye hili hayana maana yoyote, hayakuongezei wewe wala wasomaji wako tonge la ugali wa muhogo. Badala yake yanaongeza chuki tu na kusababisha watu wengi kuchukia na kufa kwa pressure. Mwenye maamuzi haya ni rais wa nchi na bahatii mbaya tulimchagua kwa uzuri wa sura yake na wala sio uzuri wa matendo yake. Hivyo kuridhika au kutokuridhika kwangu nitakuonyesha kwenye kisanduku cha kupiga kura ya rais.

c. Sasa kama serikali imeficha Meremeta, you damn waandishi wa habari! mpo kwa ajili ya nini? Nendeni mkafukue kule walikoficha kisha tuanikieni wote tuone. Sasa unataka mimi nisiridhike na baada ya hapo niende kufukua huo uchafu ulikofichwa? Mimi ni daktari bwana, siogopi kuufutwa uchafu ulikojificha. Huwa nakagua kinyesi, napitisha mkono kwenye ile kitu inayoliwa usiku ili niangalie kama ni nzima au la. Unafikiri nitashindwa kutumbukiza kono langu kwenye hii chafu chafu ya Meremeta?

d. Aafadhali amejiuzia yeye kuliko angewauzia wageni. Hivi mzee Mwanakijiji wewe vipi hujui deals za nchi hii? Kuna deals kuanzia kwa Matona mpaka kule Ikulu. Leo mimi nimefanya deals zangu tatu, narudi home kama shujaa kwa familia na watoto wangu. Wasio jua deals wamekimbilia Ulaya baada ya hapa kuwashinda. Kwa tulioko TZ, deals ni sehemu ya maisha yetu. Tunazidiana speed tu. Njoo Bongo na ukamatwe pale Morogoro kwasababu gari lako halina fire extinguisher; traffic anakuambia safari hii haipo tena labda utoe 50,000 nikutafutia hiyo kifaa. Utafanya nini?

e. Uza yote hayo kwa makaburu bana! Waswahili tumeroga hatujui kitu chochote. Uliona wapi wenye akili wanakimbia nchi yao ili wakabebe mabox na kuwaachia wageni wanafaidi nchi yao? Watanzania wote bana! ni vichaa, akili zetu kama za yule mbwa, anabweka kwa mbali huku mwizi anapakua asali tu. Tunawaona wezi kwanini tunapigia kelele USA na sio kuja hapa Manzese tushirikiane na akina Dr. Slaa. Kwanini tunaunga mkono vyama hewa ambavyo hata havijazaliwa badala ya kuunga mkono chama kama CHADEMA ambacho kiko miaka mingi hata kama ni cha ukoo? Ukitaka kushiriki unaenda kuoa mjuu wa Mtei, usijali hata ukiwa na mke tayari, sisi hapa mitala inaruhusiwa. Karibu viongozi wetu wote wana mitala, hata mheshimiwa rais ana kamtala kake anavinjari usiku usiku na kwenye facebook yake anaweka busy. Ukisikia mbongo anasema yuko busy, jua anatongoza au anshughulikia totoz! mpya. Walinzi wanaachiwa washughulikie ile mama ya zamani! Zuma style.


f. Hiyo sheria ya kuhujumu uchumi lini ilifanya kazi? Sasa unataka sheria iliyofeli sasa tuitumie kwa mafisadi ili ifeli zaidi? Kwanza mafisadi wote ni marafiki wa raisi sasa unataka mimi nifanye nini? Unataka nikosane na raisi wangu? Hapana bana! hawa mafisadi washughulikieni wenyewe huko mitaani kama mnavyochoma moto vibaka. Mkiwaleta kwetu wabunge tuwajadili, tutawaachia maana ni wenzetu au wametusaidia pesa za kampeni zetu. Chomeni moto huko huko kwenu kwa kutumia njia nyingi. Wengi wao wanapenda ngono, wapelekee totozi wenye ngoma, wengi wanapenda kitimoto, ongezeeni fat humo baada ya muda pressure ipande na kuwaua. Wengi wanapenda miti shamba, ongezeni na ile mionzi ya Warusi.


kama ungekuwa ni mtihani ndugu yangu ningekufelisha vibaya sana. Bado namsubiria mbunge mtarajia aje anipe mtazamo wake usiouliza maswali juu ya maswali bali majibu yanayoeleweka ya kila swali. Lengo langu ni kujua mtazamo na msimamo wake kuhusu mambo hayo na labda mengine nitaendelea nayo baadaye. Sina sababu ya kumtega.
 
Wakuu,

Acheni kuwa negative sana, mtaishia kukatisha tamaa watu wengi sana.

Hata hao mnaowaona mashujaa leo waliwapinga/waliwaondoa madarakani watu wengine.

Kugombea ni haki ya raia yeyote anayetaka, na kwa mbunge mchapa kazi hata siku moja hatakiwi kuwaogopa watu wapya wanaotaka kugombea kwenye majimbo yao. Wananchi sio wajinga, kama katimiza wajibu wake basi watampa kura. Waswahili wanasema kitanda usichokilalia, huwezi kujua Kunguni wake. Mtu anaweza kuwa hero kitaifa lakini kumbe kule kwao akawa na matatizo mengi sana. Akina Malecela waliangushwa kule kwao shauri ya mambo hayo hayo.

Kama ilivyo JF siku zote, mchambueni huyu mgombea na kama ana madudu huko nyuma basi yaanikeni hapa. Hii ya kuanza kuita watu mafisadi au wametumwa na mtu bila hata kuwa na chembe ya ushahidi kwa kweli inashusha hadhi nzima ya JF where we dare to speak openly with facts.

Dr Nakutakia mafanikio mema na nguvu na afya njema maana mpambano wa ubunge kwa Tanzania ni hekaheka kubwa. Muhimu ni dhamira yako mwenyewe na ndio itakusuta au kukushangilia maana wewe mwenyewe ndio unajua ukweli wote kwanini unaenda huko jimboni. Jitahidi sana kutokutumia njia chafu maana hazitakusaidia.

Tatizo sio watu kuwa negative au kuzuia watu wasigombee. Tatizo ni kauli zao/zenu wagombea za kushindwa kuthamini michango ya wabunge wa sasa ndani na nje ya Bunge. Kauli kama 'seleli ametumia miaka mitano kuzungumzia ,masuala ya Richmond'. ndio zinazotia kichefuchefu wengi wetu. Siku hizi siyo kazi kupata hata hansard online kujua mbunge wako amepigania nini na serikali imemjibu nini katika miaka mitano. Jamani badilini strategy mpate response nzuri! Vinginevyo mtakuwa mkitoa kichwa tu mnashambuliwa faster.

Fikiria mtu (Zyansiku) anayehubiri habari ya Seleli kuchelewa Bungeni wakati huo huo anampamba Rostam kutawazwa ukamanda wa vijana. Kana kwamba ni suala la maana sana kitaifa, Mbunge ambaye ni mtoro Mkuu wa vikao vya bunge na ambaye hajawahi kuchangia chochote bungeni (kama katiba mnavyotaja wajibu wa mbunge/bunge). Halafu unategemea great thinkers warespond vp?

Narudia tena, WABUNGE WOTE WAPIGANAJI HAWAJAWAHI KUPITA BILA KUPINGWA. Hata huko nyuma walipitia kwenye michakato hiyo hiyo na wapinzani wao. Na kwa taarifa yenu wabunge hupenda wapinzani wengi ili kura zigawanyike wapite kilaini.
 
kama ungekuwa ni mtihani ndugu yangu ningekufelisha vibaya sana. Bado namsubiria mbunge mtarajia aje anipe mtazamo wake usiouliza maswali juu ya maswali bali majibu yanayoeleweka ya kila swali. Lengo langu ni kujua mtazamo na msimamo wake kuhusu mambo hayo na labda mengine nitaendelea nayo baadaye. Sina sababu ya kumtega.
Mzee Mwanakijiji,

Huna shukrani kabisa mbona unakataa majibu yangu?

Ita mgombea yeyote wa kutoka CCM hawezi kukupa majibu ya maswali yako maana siasa ni umoja. Upinzani watatoa majibu lakini na wenyewe wakiingia madarakani basi wanafunga midomo.

Mimi nikiwa mgombea siwezi kuja hapa JF, kuna Wanoko wengi sana.
 
Sasa huyu ndiye nani? Mimi sipendi kweli haya magwanda ya kijani.
Nilidhani ndio dr hamis (Mfili embiei)? au zyansiku?
Nimependa pozi lake...kuhusu magwanda sisemi mengi maana hata Nyerere aliyeyabuni inasemekana hajawahi kuvaaa
mix with yours
 
Mkuu,

Tupo JF toka 2005 kule Business Times, tumesikia mengi sana.

Ukimtuhumu mtu kuhudhuria sherehe ya Monduli unakuja na ushahidi, au unakuja na picha. Vinginevyo unastahili kuwa Twanga Pepeta kwenye mipasho bila ushahidi kuliko hapa JF where we dare to speak openly.

Kama una facts za huko intern toa, unaogopa nini? Vinginevyo shut up maana huna jipya. Ndio maana waanzilishi wa JF walikuja na hilo neno where we dare to speak openly ili kila mwenye ukweli ajisikie kuwa huru kusema ukweli.

Mkuu, allow me to apologize for sleeping early last night... nilimiss hii post yako!!! pili naomba uondoe ujinga wa kujisifia kwamba nilikuwepo tangu enzi fulani, huo ni upungufu wa uelewa na nashangaa sana eti umemaliza juzi elimu yako ya juu zaidi... you make wale watumishi wanaojisifia kuwa idara moja kwa miaka 40 wawe ma-genious!!! una upungufu mkubwa sana wa upeo na nahisi you dont listen to many people around you... in short unatia huruma!!!

Tatu, you can not tell me to shut up because you are not my mother

Nne, you know exactly what i mean and that is the reason your adrenaline went up last night buddy!!!

Now back to my points, Hamisi anaelewa nasema nini, na kwa kuwa mimi ni zao la MUCHS [even before MUHAS], tuna a very good network nyingine ambayo si jamii forums, jambo forums wa whats-up forum.... tunashare mengi na wewe si mwenzetu,.... he has his issues wakati akiwa daruso na hata alipokua intern wakati wa mgomo

he is a hypocrit... na kujisifia anawajua watu wote maarufu na kuwa mbishi wa kupokea ideas.... jiulize ule mgomo wa intern uliosababisha akina **** kupoteza kabisa wito ulikuaje???? he has lots of acronyms but ask him je ana-practice hiyo medicine?? je amesomea agriculture, ambayo ndiyo anaifanyia kazi kwa sasa?? nimemaliza na wewe unayedhani kuwa kwenye forum kuanzia 2005 kunakupa uhuru wa kuwa kiranja.... the motion was not about you but you really put a show ---- just like alicia keys

tuliza kitenesi na 2005 yako au unataka ku-trigger metamorphosis ya watu kuanzia 2007??
 
kwa anayeuelewa kweli mfumo wa sasa wa nchi hii... huwezi kuleta maendeleo sustainable kwenye jimbo lako kama sera, miongozo na ilani za nchi yetu bado ziko jinsi zilivyo... waliofanikiwa to go around wote ni wenye pesa za kutisha ambazo hazilingani na rekodi zilizopo TRA... tuache ujinga na kudanganyana kwamba kuna mbunge yeyote anayeweza kuendeleza jimbo lake kwa njia safi

its either yuko jikoni anaamua kupindisha plans na kuhamishia barabara, umeme au maji kwake
au ni rich fella to cash a few weak individuals kubadili mipango
au ni msomi aliyebahatika kupata research au fedha za mipango fulani na kuchagua kwao kama pilot
90% ya wabunge waliopo hawawezi kufanya hivyo na hamisi ni mmoja wao

maswali mengine yanahitaji kuangali unauliza ukiwa kwenye media gani!!!!
 
Mkuu, allow me to apologize for sleeping early last night... nilimiss hii post yako!!! pili naomba uondoe ujinga wa kujisifia kwamba nilikuwepo tangu enzi fulani, huo ni upungufu wa uelewa na nashangaa sana eti umemaliza juzi elimu yako ya juu zaidi... you make wale watumishi wanaojisifia kuwa idara moja kwa miaka 40 wawe ma-genious!!! una upungufu mkubwa sana wa upeo na nahisi you dont listen to many people around you... in short unatia huruma!!!

Tatu, you can not tell me to shut up because you are not my mother

Nne, you know exactly what i mean and that is the reason your adrenaline went up last night buddy!!!

Now back to my points, Hamisi anaelewa nasema nini, na kwa kuwa mimi ni zao la MUCHS [even before MUHAS], tuna a very good network nyingine ambayo si jamii forums, jambo forums wa whats-up forum.... tunashare mengi na wewe si mwenzetu,.... he has his issues wakati akiwa daruso na hata alipokua intern wakati wa mgomo

he is a hypocrit... na kujisifia anawajua watu wote maarufu na kuwa mbishi wa kupokea ideas.... jiulize ule mgomo wa intern uliosababisha akina seba kupoteza kabisa wito ulikuaje???? nimemaliza na wewe unayedhani kuwa kwenye forum kuanzia 2005 kunakupa uhuru wa kuwa kiranja.... the motion was njot about you but you really put a show ---- just like alicia keys

tuliza kitenesi na 2005 yako au unataka ku-trigger metamorphosis ya watu kuanzia 2007??

Hata mimi nashindwa kukuelewa, badala ya kudodosa dodosa si sema? Unaogopa nini? Toa madudu yote ya huyo jamaa ili wengine wote wajue.

Lakini kama huna pia kaa kimya kama alivyokuambia huyo jamaa mwingine. Naona kama unaandika mengi sana kwa kuficha ficha. Au na wewe ni fisadi unaogopa kujulikana ulifanya nini huko intern.

Inaelekea una mahasira sana, punguza usije ukapasuka.
 
Ngoja nende kulala kwetu huku ni saa 9 usiku sasa hivi. Nakuacha de novo ukiendelea kutapika ukweli wanaoutaka....hehehehehehehehehe wasiotumia literature background ni vigumu kukuelewa na hasa unapozungumza na mainjinia. hahahahahahahha
 
Hata mimi nashindwa kukuelewa, badala ya kudodosa dodosa si sema? Unaogopa nini? Toa madudu yote ya huyo jamaa ili wengine wote wajue.

Lakini kama huna pia kaa kimya kama alivyokuambia huyo jamaa mwingine. Naona kama unaandika mengi sana kwa kuficha ficha. Au na wewe ni fisadi unaogopa kujulikana ulifanya nini huko intern.

Inaelekea una mahasira sana, punguza usije ukapasuka.

si lazima kuinua mkia wa mbwa kujua tundu liko wapi mazee.... i just showed you where the tail is
 
same, urambo, kyela, nzega, simanjiro, nk. tatizo si mabadiliko ndugu, tatizo ni dhamira iliyo nyuma yenu.... namjua hamisi vizuri sana na dhamira zake pia.... NEED WE GO DEEPER?

Come on DE Novo, We dare to talk openly!....and remember, You Will Never Walk Alone! :hail::hail::hail::hail:
 
sasa huyu ndiye nani? Mimi sipendi kweli haya magwanda ya kijani.

95% ya wavaaji wa magwanda ya kijani ni "yes sir," "huyu ni mwenzetu," "mzee kasema hivi." na mambo ya aina hiyo. Inawezekana yeye ni katika ile 5% inayobaki.
 
si lazima kuinua mkia wa mbwa kujua tundu liko wapi mazee.... i just showed you where the tail is


Inaelekea wewe unamjua sasa saidia maswali haya, na wengine mnaomjua mwaweza kutusaidia kumjua vyema Doctor wetu Mbunge mtarajiwa

2355800.jpg


Muhimbili alimaliza mwaka gani? Intern alifanyia wapi? MPH, & MBA yake aliipata wapi na chuo gani or was online? Tunaomba ingawa ka Research/Dissertation yake aweke hapa kwanza kabla ya hayo maswali ya Richmond, ATCL, TANESCO....etc :redfaces:
 
Inaelekea wewe unamjua sasa saidia maswali haya, na wengine mnaomjua mwaweza kutusaidia kumjua vyema Doctor wetu Mbunge mtarajiwa

2355800.jpg


Muhimbili alimaliza mwaka gani? Intern alifanyia wapi? MPH, & MBA yake aliipata wapi na chuo gani or was online? Tunaomba ingawa ka Research/Dissertation yake aweke hapa kwanza kabla ya hayo maswali ya Richmond, ATCL, TANESCO....etc :redfaces:


Huu ndio uchaguzi wa 2010....duh tutaona na kusikia mengi !
Mix with yours
 
Mkuu, allow me to apologize for sleeping early last night... nilimiss hii post yako!!! pili naomba uondoe ujinga wa kujisifia kwamba nilikuwepo tangu enzi fulani, huo ni upungufu wa uelewa na nashangaa sana eti umemaliza juzi elimu yako ya juu zaidi... you make wale watumishi wanaojisifia kuwa idara moja kwa miaka 40 wawe ma-genious!!! una upungufu mkubwa sana wa upeo na nahisi you dont listen to many people around you... in short unatia huruma!!!

Tatu, you can not tell me to shut up because you are not my mother

Nne, you know exactly what i mean and that is the reason your adrenaline went up last night buddy!!!

Now back to my points, Hamisi anaelewa nasema nini, na kwa kuwa mimi ni zao la MUCHS [even before MUHAS], tuna a very good network nyingine ambayo si jamii forums, jambo forums wa whats-up forum.... tunashare mengi na wewe si mwenzetu,.... he has his issues wakati akiwa daruso na hata alipokua intern wakati wa mgomo

he is a hypocrit... na kujisifia anawajua watu wote maarufu na kuwa mbishi wa kupokea ideas.... jiulize ule mgomo wa intern uliosababisha akina **** kupoteza kabisa wito ulikuaje???? he has lots of acronyms but ask him je ana-practice hiyo medicine?? je amesomea agriculture, ambayo ndiyo anaifanyia kazi kwa sasa?? nimemaliza na wewe unayedhani kuwa kwenye forum kuanzia 2005 kunakupa uhuru wa kuwa kiranja.... the motion was not about you but you really put a show ---- just like alicia keys

tuliza kitenesi na 2005 yako au unataka ku-trigger metamorphosis ya watu kuanzia 2007??

Kaka, nimesoma michango yako mingi hapa JF, naona kweli hata huo udaktari haukufai kabisa. Unachemka shauri ya mambo madogo utafikiri ni mvuta bangi wa manzese? Daktari kama una hasira hivyo si unaua wagonjwa huko?

Hao unaowatuhumu lete ushahidi wote hapa na wengine tufaidi. Vinginevyo fungua Ze Utamu nyingine ambako ushahidi sio muhimu bali lengo ni kuchafuana tu.

Haya mambo ya kung'ang'ania huyu alifanya hili na yule alienda Monduli bila kuweka hata kaushahidi kadogo sio tabia ya mtu msomi, ni tabia za house wives wakiwa saloon.

Ningekufahamu kwa jina hiyo hospitali yako ningeigopa kama ukoma maana inaelekea umesoma lakini hujaelemika.

Mimi bado nakupa nafasi, lete data za huyo daktari mwenzako tumchambue kama mchele. Lete pia data za huyo aliyeenda Monduli na mwenyewe kama ni kweli tumuumbue. Kama huna kweli unastahili kukaa kimya ili kulinda heshima yako.
 
Sasa huyu ndiye nani? Mimi sipendi kweli haya magwanda ya kijani.

Baadhi yao ni marafiki zangu na huwa nawachekea vizuri tu lakini laiti wangefunua moyoni mwangu...ni kichefu chefu kama mama mwenye mimba changa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom