Senorita23
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 390
- 489
Ndugu dogo alikosa mara ya kwanza akaomba mara ya pili sasa majina yametoka walochaguliwa chuo kimoja na kuambiwa third round 24_26
Sasa naulza je vyuo bado havijatoa majina au sijaona tu na kama havijatoa mtu atajuaje amechaguliwa au la
Pili mtu unatumia web gan kulogin maana dogo haelew yaan kuangalia taarifa zako(profile) ili kama katemwa aombe tena
Sasa naulza je vyuo bado havijatoa majina au sijaona tu na kama havijatoa mtu atajuaje amechaguliwa au la
Pili mtu unatumia web gan kulogin maana dogo haelew yaan kuangalia taarifa zako(profile) ili kama katemwa aombe tena