Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,833
- 155,780
Huyu Bwana napenda sana kuzijua habari zake.
najua aliandika kitabu cha MAKUWADI WA SOKO HURIA, napia alifanya utafiti wa mradi wa kamba kwenye Delta ya mto Rufiji.
Naomba mnisaidie ili nimjue vyema zaidi yeye na falsafa zake, maaana mwaka mmoja baada ya kifo chake Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kiliandaa wiku nzima ya kuzienzi fikra zake.
je kwanini hakuingia kwenye siasa? Aliwezaje kujipenyeza hadi kwa wananchi?
najua aliandika kitabu cha MAKUWADI WA SOKO HURIA, napia alifanya utafiti wa mradi wa kamba kwenye Delta ya mto Rufiji.
Naomba mnisaidie ili nimjue vyema zaidi yeye na falsafa zake, maaana mwaka mmoja baada ya kifo chake Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kiliandaa wiku nzima ya kuzienzi fikra zake.
je kwanini hakuingia kwenye siasa? Aliwezaje kujipenyeza hadi kwa wananchi?