🥴🥴🥴 mtoto akilikia wembe unampa tu.. mtu akienda kwa boda boda ( waendesha piki piki za abiria ), kuna mambo atapata.. kuna mahala nilikuwa na urafiki na boda boda..akaanza niambia wake wa watu wanao jiuza.. wame wapa na namba zao
Uzi tayari...mikoa yote mjini Kuna starehe inategemea wewe utanogewa na Nini we ingia mjini ukiona mataa taa ya rangi tofauti jua ni sehemu ya Bata nenda kajibebee mnduku ukarombe.KILA MJA NI SHAHID WA NAFSI YAKE MWENYEWE