David Goliath
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 928
- 1,799
Kama uko chato kweli tupia kapicha umelalia JiweHabari wakuu
Nimeingia chato jioni ya leo,Mie mgeni kidogo nitakuwa huku kwa siku mbili Tatu.
Wenyeji wa chato waliomo humu, sehemu gani nzuri Za kujidai na kuenjoy au beach gani nzuri.