Hakuna kiwanja chochote kizuri, Chato ni Kijiji cha uvuvi,labda bar za kawaida na pale J's Motel ni ya mwendazake,hata hivyo hakuna lolote.Habari wakuu
Nimeingia chato jioni ya leo,Mie mgeni kidogo nitakuwa huku kwa siku mbili Tatu.
Wenyeji wa chato waliomo humu,sehemu gani nzuri Za kujidai na kuenjoy au beach gani nzuri.
Duuuu hebu funguka utupie na pichaHakuna kiwanja chochote kizuri, Chato ni Kijiji cha uvuvi,labda bar za kawaida na pale J's Motel ni ya mwendazake,hata hivyo hakuna lolote.
Habari wakuu
Nimeingia chato jioni ya leo,Mie mgeni kidogo nitakuwa huku kwa siku mbili Tatu.
Wenyeji wa chato waliomo humu, sehemu gani nzuri Za kujidai na kuenjoy au beach gani nzuri.
Katoro pananoga sanaKatoro ndo pazuri utafaidi nyama tamu za kuchoma
nenda Kaburi Motel, hapo panavutia sanaHabari wakuu
Nimeingia chato jioni ya leo,Mie mgeni kidogo nitakuwa huku kwa siku mbili Tatu.
Wenyeji wa chato waliomo humu, sehemu gani nzuri Za kujidai na kuenjoy au beach gani nzuri.