Usalama kazini? Tuhuma za kufichua mabilioni Chato si ngeni

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,916
Hizi si habari ngeni hata kidogo! Hizi si habari mpya hata kidogo! Kinahozifanya ziwe mpya na ngeni ni kule kusemwa rasmi hadharani na kiongozi wa upinzani kwenye jukwaa la kisiasa la mkutano wa hadhara..! Kiongozi hasimu wa chama tawala
Tukiondoa uvivu wa kufikiri na ukengeufu wa kutunza kumbukumbu tunaweza kujikumbusha yale masaa 72 yote yaliyojiri na kuvuja kabla ya kutangaziwa tanzia ya mwendazake...
Hayo masaa 72 sawa na siku 3 yalikuwa ni hitimisho tu ya minong'ono ya takribani wiki nzima
Tuhuma za benki kuu kuporwa mabilioni
Tuhuma za hazina kukombwa mabilioni
Tuhuma za kukutwa chumba chenye mabilioni nyumbani Chato kwa mwendazake!

Kuna watu walitajwa kwa majina kabisa kwamba ndio walikuwa viongozi kwenye hayo mambo.. Hawa wote wapo na bado wako hai, na karibia wote wakiwa na madaraka makubwa tuu

Swali: Usalama kazini?
Utendaji kazi wa hiki kitengo ni tofauti kabisa na utendaji kazi wa vitengo vingine vya serikali.. Ambavyo kwa sehemu kubwa hutoa mrejesho kwa jamii ama huishirikisha jamii ya yale yaliyojiri.. Japo si yote bali yanayofaa kuifikia jamii kwa utaratibu rasmi

Hakuna jambo linalofanyika popote duniani bila usalama wa nchi husika kuwa na taarifa nalo.. Jukumu kubwa na la msingi la usalama si kwenda front bali ni kupeleka taarifa kwa vitengo husika!
Kuna mazingira ambayo kama kuna mushkeli kidogo wa jambo fulani na kitengo husika kikashindwa kwa sababu zozote zile kulifanyia kazi kwa wakati.. Taarifa hizo huvujishwa kwa jamii kwa namna ya kipekee mno!

Usalama ndio huendesha taifa kupitia serikali na vitengo vyake vingine.. Ni usalama ndio huamua jambo liwe ama lisiwe na kwa sababu gani ama kwa wakati gani!
Kupunguza urefu wa mada ni kwamba
Mikutano ya kisiasa isingewezekana bila usalama kuridhia
Mikataba mibovu isingevuja bila usalama kuridhia
Watu wasiojulikana.....,..!

Kuna tuhuma zikisemwa rasmi hadharani kwenye jukwaa la kisiasa mbele ya mkutano mkubwa wa hadhara..
Hilo si bahati mbaya
Hilo si kuropoka
Hilo si kutafuta kiki
Hilo si la uongo wala la kusingizia...!

Yapo ya kuropoka na kusiibana kwenye majukwaa ya siasa za majitaka lakini yasiyo sensitive kabisa! Na yapo ya kutamkwa hadharani huku mtamkaji akitambua wazi kwamba ana wajibu wa kutakiwa kuthibitisha itakapohitajika kufanya hivyo kisheria...!

Kama haya ya huko Chato yameanza kusemwa rasmi hadharani basi tambua kuna mziki mnene unakuja! Lakini huo mziki mnene unaweza kuzimika ghafla bin vuu kama lile limkataba likifutuliwa mbali tena kwa kauli moja tuu..!

Wazalendo wako kazini kwa maslahi mapana ya Taifa teule la Tanganyika huru...!
38af568af4135b3cbc74e659374279d8.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama haya ya huko Chato yameanza kusemwa rasmi hadharani basi tambua kuna mziki mnene unakuja! Lakini huo mziki mnene unaweza kuzimika ghafla bin vuu kama lile limkataba likifutuliwa mbali tena kwa kauli moja tuu..!
 
Hizi si habari ngeni hata kidogo! Hizi si habari mpya hata kidogo! Kinahozifanya ziwe mpya na ngeni ni kule kusemwa rasmi hadharani na kiongozi wa upinzani kwenye jukwaa la kisiasa la mkutano wa hadhara..! Kiongozi hasimu wa chama tawala
Tukiondoa uvivu wa kufikiri na ukengeufu wa kutunza kumbukumbu tunaweza kujikumbusha yale masaa 72 yote yaliyojiri na kuvuja kabla ya kutangaziwa tanzia ya mwendazake...
Hayo masaa 72 sawa na siku 3 yalikuwa ni hitimisho tu ya minong'ono ya takribani wiki nzima
Tuhuma za benki kuu kuporwa mabilioni
Tuhuma za hazina kukombwa mabilioni
Tuhuma za kukutwa chumba chenye mabilioni nyumbani Chato kwa mwendazake!

Kuna watu walitajwa kwa majina kabisa kwamba ndio walikuwa viongozi kwenye hayo mambo.. Hawa wote wapo na bado wako hai, na karibia wote wakiwa na madaraka makubwa tuu

Swali: Usalama kazini?
Utendaji kazi wa hiki kitengo ni tofauti kabisa na utendaji kazi wa vitengo vingine vya serikali.. Ambavyo kwa sehemu kubwa hutoa mrejesho kwa jamii ama huishirikisha jamii ya yale yaliyojiri.. Japo si yote bali yanayofaa kuifikia jamii kwa utaratibu rasmi

Hakuna jambo linalofanyika popote duniani bila usalama wa nchi husika kuwa na taarifa nalo.. Jukumu kubwa na la msingi la usalama si kwenda front bali ni kupeleka taarifa kwa vitengo husika!
Kuna mazingira ambayo kama kuna mushkeli kidogo wa jambo fulani na kitengo husika kikashindwa kwa sababu zozote zile kulifanyia kazi kwa wakati.. Taarifa hizo huvujishwa kwa jamii kwa namna ya kipekee mno!

Usalama ndio huendesha taifa kupitia serikali na vitengo vyake vingine.. Ni usalama ndio huamua jambo liwe ama lisiwe na kwa sababu gani ama kwa wakati gani!
Kupunguza urefu wa mada ni kwamba
Mikutano ya kisiasa isingewezekana bila usalama kuridhia
Mikataba mibovu isingevuja bila usalama kuridhia
Watu wasiojulikana.....,..!

Kuna tuhuma zikisemwa rasmi hadharani kwenye jukwaa la kisiasa mbele ya mkutano mkubwa wa hadhara..
Hilo si bahati mbaya
Hilo si kuropoka
Hilo si kutafuta kiki
Hilo si la uongo wala la kusingizia...!

Yapo ya kuropoka na kusiibana kwenye majukwaa ya siasa za majitaka lakini yasiyo sensitive kabisa! Na yapo ya kutamkwa hadharani huku mtamkaji akitambua wazi kwamba ana wajibu wa kutakiwa kuthibitisha itakapohitajika kufanya hivyo kisheria...!

Kama haya ya huko Chato yameanza kusemwa rasmi hadharani basi tambua kuna mziki mnene unakuja! Lakini huo mziki mnene unaweza kuzimika ghafla bin vuu kama lile limkataba likifutuliwa mbali tena kwa kauli moja tuu..!

Wazalendo wako kazini kwa maslahi mapana ya Taifa teule la Tanganyika huru...!View attachment 2709698

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu alisema hawa wapinzani sio watu wa kuwaamini..wana hulka ya kutumiwa na serikali kuwaondoa watanzania kwenye focus pale serikali inapoboronga na kuona wananchi wanazidi kushupaza shingo..

Haya mambo hayajaja kwa bahati mbaya..na kwa namna ambavyo hawa jamaa walimkamia Magu walipotoka ulaya basi hili lilikuwa jambo la kwanza na picha tungeonyeshwa.

Ni wazimu kutegemea upinzani kuleta maendeleo nchi hii..wakishapewa na watawala wanakula wanavimbiwa basi.
 
Kama haya ya huko Chato yameanza kusemwa rasmi hadharani basi tambua kuna mziki mnene unakuja! Lakini huo mziki mnene unaweza kuzimika ghafla bin vuu kama lile limkataba likifutuliwa mbali tena kwa kauli moja tuu..!
Big no, mama Samia, The Mother of Modern Tanzania, hawezi kuacha kuiletea maendeleo nchi kisa eti kuna haters wasiopenda.
 
Kuna mtu alisema hawa wapinzani sio watu wa kuwaamini..wana hulka ya kutumiwa na serikali kuwaondoa watanzania kwenye focus pale serikali inapoboronga na kuona wananchi wanazidi kushupaza shingo..

Haya mambo hayajaja kwa bahati mbaya..na kwa namna ambavyo hawa jamaa walimkamia Magu walipotoka ulaya basi hili lilikuwa jambo la kwanza na picha tungeonyeshwa.

Ni wazimu kutegemea upinzani kuleta maendeleo nchi hii..wakishapewa na watawala wanakula wanavimbiwa basi.
Wewe ni yupi hapa
20230806_042931.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi si habari ngeni hata kidogo! Hizi si habari mpya hata kidogo! Kinahozifanya ziwe mpya na ngeni ni kule kusemwa rasmi hadharani na kiongozi wa upinzani kwenye jukwaa la kisiasa la mkutano wa hadhara..! Kiongozi hasimu wa chama tawala
Tukiondoa uvivu wa kufikiri na ukengeufu wa kutunza kumbukumbu tunaweza kujikumbusha yale masaa 72 yote yaliyojiri na kuvuja kabla ya kutangaziwa tanzia ya mwendazake...
Hayo masaa 72 sawa na siku 3 yalikuwa ni hitimisho tu ya minong'ono ya takribani wiki nzima
Tuhuma za benki kuu kuporwa mabilioni
Tuhuma za hazina kukombwa mabilioni
Tuhuma za kukutwa chumba chenye mabilioni nyumbani Chato kwa mwendazake!

Kuna watu walitajwa kwa majina kabisa kwamba ndio walikuwa viongozi kwenye hayo mambo.. Hawa wote wapo na bado wako hai, na karibia wote wakiwa na madaraka makubwa tuu

Swali: Usalama kazini?
Utendaji kazi wa hiki kitengo ni tofauti kabisa na utendaji kazi wa vitengo vingine vya serikali.. Ambavyo kwa sehemu kubwa hutoa mrejesho kwa jamii ama huishirikisha jamii ya yale yaliyojiri.. Japo si yote bali yanayofaa kuifikia jamii kwa utaratibu rasmi

Hakuna jambo linalofanyika popote duniani bila usalama wa nchi husika kuwa na taarifa nalo.. Jukumu kubwa na la msingi la usalama si kwenda front bali ni kupeleka taarifa kwa vitengo husika!
Kuna mazingira ambayo kama kuna mushkeli kidogo wa jambo fulani na kitengo husika kikashindwa kwa sababu zozote zile kulifanyia kazi kwa wakati.. Taarifa hizo huvujishwa kwa jamii kwa namna ya kipekee mno!

Usalama ndio huendesha taifa kupitia serikali na vitengo vyake vingine.. Ni usalama ndio huamua jambo liwe ama lisiwe na kwa sababu gani ama kwa wakati gani!
Kupunguza urefu wa mada ni kwamba
Mikutano ya kisiasa isingewezekana bila usalama kuridhia
Mikataba mibovu isingevuja bila usalama kuridhia
Watu wasiojulikana.....,..!

Kuna tuhuma zikisemwa rasmi hadharani kwenye jukwaa la kisiasa mbele ya mkutano mkubwa wa hadhara..
Hilo si bahati mbaya
Hilo si kuropoka
Hilo si kutafuta kiki
Hilo si la uongo wala la kusingizia...!

Yapo ya kuropoka na kusiibana kwenye majukwaa ya siasa za majitaka lakini yasiyo sensitive kabisa! Na yapo ya kutamkwa hadharani huku mtamkaji akitambua wazi kwamba ana wajibu wa kutakiwa kuthibitisha itakapohitajika kufanya hivyo kisheria...!

Kama haya ya huko Chato yameanza kusemwa rasmi hadharani basi tambua kuna mziki mnene unakuja! Lakini huo mziki mnene unaweza kuzimika ghafla bin vuu kama lile limkataba likifutuliwa mbali tena kwa kauli moja tuu..!

Wazalendo wako kazini kwa maslahi mapana ya Taifa teule la Tanganyika huru...!View attachment 2709698

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hayo masala 72 alikuwa hai au hakuwa hai.Na kama hakuwa hai kwanini muhusishe wizi huo na yeye
 
Lissu amekosa influence kwenye jamii
Jibu Hoja mkuu, hapa issue je tiss wapo makini na utendaji wao?,kupelekea kufariki kwa president Magufuli kuliandamana na tuhuma nzito za uporaji wa fedha zetu,unakumbuka ile tume iliyoundwa kuchunguza haya?report yake ipo wapi?,wanaompinga Mh.Lissu mje na hoja yenye facts kupinga tuhuma zake sio kuleta vitisho, Nami nasema ccm bila msaada wa vyombo vya ulinzi na usalama, siasa hawaziwezi
 
Mambo ya kujifurahisha tu, halafu msisahau head of civil service kipindi hiko alikuwa Dr Bashiru Ali chochote cha raisi lazima atoe idhini yeye.

TISS kulikuwa na Diwani Athumani, Polisi kulikuwa IGP Sirro; yaani hao ndio watu wakutoa amri nyumba yake ipekuliwe kama muhalifu.

Ujinga mtupu
 
sawa.atuwekee na uthibitisho.na atuambie hz hela kwa sasa zimepelekwa wap.alaf aliomba kwenda kwenye kaburi la magufuli tutaamini vp kama sio hasira za kukataliwa?
 
Hizi si habari ngeni hata kidogo! Hizi si habari mpya hata kidogo! Kinahozifanya ziwe mpya na ngeni ni kule kusemwa rasmi hadharani na kiongozi wa upinzani kwenye jukwaa la kisiasa la mkutano wa hadhara..! Kiongozi hasimu wa chama tawala
Tukiondoa uvivu wa kufikiri na ukengeufu wa kutunza kumbukumbu tunaweza kujikumbusha yale masaa 72 yote yaliyojiri na kuvuja kabla ya kutangaziwa tanzia ya mwendazake...
Hayo masaa 72 sawa na siku 3 yalikuwa ni hitimisho tu ya minong'ono ya takribani wiki nzima
Tuhuma za benki kuu kuporwa mabilioni
Tuhuma za hazina kukombwa mabilioni
Tuhuma za kukutwa chumba chenye mabilioni nyumbani Chato kwa mwendazake!

Kuna watu walitajwa kwa majina kabisa kwamba ndio walikuwa viongozi kwenye hayo mambo.. Hawa wote wapo na bado wako hai, na karibia wote wakiwa na madaraka makubwa tuu

Swali: Usalama kazini?
Utendaji kazi wa hiki kitengo ni tofauti kabisa na utendaji kazi wa vitengo vingine vya serikali.. Ambavyo kwa sehemu kubwa hutoa mrejesho kwa jamii ama huishirikisha jamii ya yale yaliyojiri.. Japo si yote bali yanayofaa kuifikia jamii kwa utaratibu rasmi

Hakuna jambo linalofanyika popote duniani bila usalama wa nchi husika kuwa na taarifa nalo.. Jukumu kubwa na la msingi la usalama si kwenda front bali ni kupeleka taarifa kwa vitengo husika!
Kuna mazingira ambayo kama kuna mushkeli kidogo wa jambo fulani na kitengo husika kikashindwa kwa sababu zozote zile kulifanyia kazi kwa wakati.. Taarifa hizo huvujishwa kwa jamii kwa namna ya kipekee mno!

Usalama ndio huendesha taifa kupitia serikali na vitengo vyake vingine.. Ni usalama ndio huamua jambo liwe ama lisiwe na kwa sababu gani ama kwa wakati gani!
Kupunguza urefu wa mada ni kwamba
Mikutano ya kisiasa isingewezekana bila usalama kuridhia
Mikataba mibovu isingevuja bila usalama kuridhia
Watu wasiojulikana.....,..!

Kuna tuhuma zikisemwa rasmi hadharani kwenye jukwaa la kisiasa mbele ya mkutano mkubwa wa hadhara..
Hilo si bahati mbaya
Hilo si kuropoka
Hilo si kutafuta kiki
Hilo si la uongo wala la kusingizia...!

Yapo ya kuropoka na kusiibana kwenye majukwaa ya siasa za majitaka lakini yasiyo sensitive kabisa! Na yapo ya kutamkwa hadharani huku mtamkaji akitambua wazi kwamba ana wajibu wa kutakiwa kuthibitisha itakapohitajika kufanya hivyo kisheria...!

Kama haya ya huko Chato yameanza kusemwa rasmi hadharani basi tambua kuna mziki mnene unakuja! Lakini huo mziki mnene unaweza kuzimika ghafla bin vuu kama lile limkataba likifutuliwa mbali tena kwa kauli moja tuu..!

Wazalendo wako kazini kwa maslahi mapana ya Taifa teule la Tanganyika huru...!View attachment 2709698

Sent using Jamii Forums mobile app
Inabidi aandaliwe kabla hajapanda jukwaa huyo vinginevyo wahuni watamyumbisha sana.
 
Back
Top Bottom