Solo Traveller
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 1,734
- 5,201
Nataka kila weekend niwe naenda cinema je wapi Kuna cinema quality sanaa na mazingira mazuri?
Njoo huku COCO Beach zipo maeneo.Nataka kila weekend niwe naenda cinema je wapi Kuna cinema quality sanaa na mazingira mazuri?
Mbona sipajuiNjoo huku COCO Beach zipo maeneo.
Pia KIDIMBWI zipo.
Shukrani sana mkuu umenipa muongozo mzuri sana. Mimi nipo kigamboni ipi rahisi sana kwangu?? I mean location vastnessMlimani City Century Cinemax, Aura Mall na DFM Century Cinemax pia wapo.
View attachment 3297153
Kila jumatatu elfu 6 na kila Alhamis elfu 5 tu, siku zingine zote ni elfu 9 au 12.
Movies zinaanza saa 7 mchana na ya mwisho i aisha saa 6 usiku, kila siku.
Usiende movie za animation mchana, wanajaa watoto wadogo ni kerooo kama haukai mbali ingia ya saa 4 inayoisha saa 6.