Ibrahim daud
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 609
- 525
Weka namba (Index) nikuangalizie
s.4403/0100
Weka namba (Index) nikuangalizie
haya kapige buku sasaThanks Sana Wadau Kwel Umoja N Nguvu
Halipos.4403/0100
Amandanaomba mnichekie waliotoka s3245
Amanda
Dastan
Chilumba Mashujaa CBG Mahiwa Lindi
(v) Lindi
1853 S3245/0037 M Antony
Silas
Sosoma Mashujaa EGM Mwakaleli Rungwe Mbeya
jaman naomben mniangalizie s.1779/0010 mrijo sec. school
asante mkuu tupo pamoja
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA WAZIRI MKUU â TAWALA ZA MIKOA NA
SERIKALI ZA MITAA
WANAFUNZI WALIOBADILISHIWA SHULE, TAHASUSI NA
WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO AWAMU YA
PILI 2015
Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa imefanya uchaguzi
wa wanafunzi kujiunga na kidato cha tano awamu ya pili 2015 ambapo
wanafunzi 4775 (Wavulana 3,211 na Wasichana 1,564) wamechaguliwa . Aidha,
wanafunzi wote 305 walioomba kubadilisha shule na tahasusi (sanaa kwenda
sayansi) wamebadilishiwa. Uchaguzi na mabadiliko hayo umezingatia nafasi
zilizopatikana baada ya baadhi ya wanafunzi waliochaguliwa awamu ya kwanza
kushindwa kuripoti. Wanafunzi hao wanatakiwa kuripoti shuleni kuanzia tarehe
14/09/2015 na mwisho wa kuripoti ni tarehe 28/09/2015.
Kwa tangazo hili Wakuu wa shule mnatakiwa kuwaruhusu kuondoka/
kuwapokea wanafunzi waliopangwa au kubadilishiwa shule/tahasusi bila
pingamizi lolote. Wazazi/Walezi mnashauriwa kuwasaidia wanafunzi ambao
wamebadilishiwa shule. Aidha, wanafunzi ambao wameridhika na tahasusi
wanazosoma kabla ya tangazo hili wasilazimishwe kuondoka.
Imetolewa na Katibu Mkuu
OFISI YA WAZIRI MKUU â TAMISEMI
11 SEPTEMBA, 2015