hayupo
Niangalie. S0965/0094
Jamani naomba kuuliza, sasa kama mtu hayupo kwenye selection ya kwanza, na hii second selection pia hayupo, na amequalify kuendelea na form five (GPA 1.9) inakuwaje hapo, anatakiwa afanye nini tena, kusubiri tu, au anaweza ku apply chuo kwenye hizi nafasi za ualimu na uhudumu wa ngazi za afya.
Jane Ndimbwa comb CBG Shule Mpanda Girls
Taja namba ya shule yako nduguJinsi ya kuangalia waliochaguliwa UDOM special DIPLOMA unaangalia je
umeshathibitisha kujiunga lakini
Jaribu kuangalia labda umepangiwa UDOM special diploma kama ulipiga masomo ya sayansi o level
Kenedy G Shoo comb HGL Shule Temeke
mkubwa naomba nichekie s1454/0002