LIKATUKATU
Member
- Aug 24, 2015
- 25
- 0
mkal nchekie kwa s1454/0002 ALANAjina lako la kwanza mkuu maana namba ziko nyingi,
mkal nchekie kwa s1454/0002 ALANAjina lako la kwanza mkuu maana namba ziko nyingi,
mkal nchekie kwa s1454/0002
mkal nchekie kwa s1454/0002 ALANA
naomba link ya matoke hayo
Jaman naombeni namba ya tamisemi
haiwezekani nna vigezo vyote udom hawajanichagua first selection hawajanichagua second selection hawajanichagua af nna gpa ya credit na c tatu na b moja mnanishaurije wadau
sorry,Embu tembelea website ya TAMISEMI ujionee, google TAMISEMI
Msaada wakuu s2334/018 Ahmed Mohamed
msaada wakubwa plz nchekie ISAYA GERORD MAPUNDA.
sasa jaman hongereni mliochaguliwa sasa ambao hawaja chaguliwa inakuaje..
habar za humu ndan wakuu? Naomben msaada mwenye kuelewa hii shule ya temeke ni ipo hyo/ ipo sehemu gana?