Second selection Kidato cha Tano 2015/2016

Second selection Kidato cha Tano 2015/2016

Shule hiyo ya kimamba naipata vizuri ni mpya imeanzishwa mwaka huu kwa upande wa advance na ina comb za sayansi tupu....(PCB,PCM na CBG) hipo kilosa kimamba..
 
wakuu hakuna lolote mi mbona nimebalance jina sijaliona au macho yangu mabovu niangalizieni wakuu S1502/0021
 
wakuu! mimi nimechaguliwa kwa comb PCB kimamba secndary! lakini napata shaka na hii shule kwani inaonekana ilikuwa aina advance level! wana jf msaada wenu kama mtu anaitambua hii shule

Naomba uniangalizie s3679/0010
 
baadsha unasema ni day wakati watu wengi sana waliopangwa wametokea mikoani kama hujui kitu bola usijibu
 
naomba ushauri kwa mtu ambaye anataka kujiunga na advance kuna madhara yoyote ambayo yatamwadhiri anaywenda kuingia mwez huu naomba ushauri wenu munisaiidie ili nikapate ufunguo wa maisha kwa mwezi huu wa 09

ha
 
naomba ushauri kwa mtu ambaye anataka kujiunga na advance kuna madhara yoyote ambayo yatamwadhiri anaywenda kuingia mwez huu naomba ushauri wenu munisaiidie ili nikapate ufunguo wa maisha kwa mwezi huu wa 09

ha

madhara yapo ila inategemea hayo madhara unaweza ukayasababisha mwenyewe bt kama ukiwa sirius na masomo unapiga fresh tu cha msingi ni kukomaa
 
na vipi kuhusu post za nursing ambazo zilitumwa na baadhi mpaka sasa hazijatoka kutoka nacte zinatoka lini ili wanafunz waliotuma waingie kwenye vyuo vya afya
 
mm niko kijijin sana nackia kuna nafac za walimu zimetoka kwenda dodoma jna la shule winam career sec.school no. 097 kama huyu amechaguliwa kwnda chuo cha ualim naomba munisaidie kwa hilo
 
Shule hiyo ya kimamba naipata vizuri ni mpya imeanzishwa mwaka huu kwa upande wa advance na ina comb za sayansi tupu....(PCB,PCM na CBG) hipo kilosa kimamba..

bona wa bona nitawezaje? kupata join instruction kama autojali ungenipa namba namba yako
 
Hv kma mtu alikuwa na C3,katka masom yake yaan Bios - C, chemistry - C, b/maths - C. Haraf Physcs - D. Na haja chaguliwa second wala first SELECTION pia kutuma maombi afya nako haja chaguliwa jeeee? LABDA KUNA SELECTION ZNGNE ZNAKUJA AU NDO MAISHA YAKE FINISH... HELP ME PLEASE....
 
Jaman Kwa Wanao Ifahamu Shule Ya Iwawa Sec Je Shule Hii Ni Mixture Au? Na Mazngra Yake Yako Vp Na Kuhusu Suala La Join Instruction Inakuwaje?
Msaada Wadau
"in God I Trust"
 
Back
Top Bottom