Ni course ya kijingajinga tu kaka, ila kama anaenda kusoma ili awe na degree ya kufanyia siasa hapo sawa ila mathematics inamuusu sana lakini hakuna kazi kitaa, kama anaweza atafute shughuli za kufanya angojee mwakani ok
Ni course ya kijingajinga tu kaka, ila kama anaenda kusoma ili awe na degree ya kufanyia siasa hapo sawa ila mathematics inamuusu sana lakini hakuna kazi kitaa, kama anaweza atafute shughuli za kufanya angojee mwakani ok
Yaani unasoma degree ya pili ili uajiriwe hizo pesa za kusoma degree ya pili ni bora ungezitumia kama mtaji ukajiajiri ila kwa vile akili ya inawaza kuajiriwa utasoma degree nyingi sana.