mojoki
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 1,314
- 290
Hizi touch screen zinavyosumbua watu mdada kanunua cmu mpya Screen touch
Mdada: Bebi mambwo? Jamaa: Poa nambie Mdada: Vipw umelalwa? Jamaa: Unasemaje? Mdada: Nauliza umelwala? Jamaa: Mhhhh! Cjalala baby hata ucngz cna
Mdada: Mim menyew cjalwala ---- mijitu inapiga kelelwe hapa nje kwetu hadi inaboowa
Jamaa! Nin?
Mdada: kuna kelwele hapa nje ya numba yetu usingizwi hakuna kabiswa
Jamaa: hahahaa pole baby
Mdada: Bwebi mbona unanichekwa sasa?
Jamaa: Jaribu kuandika vizuri hunny
Mdada: Hehehwehwe, cunajua cmu mupya alafu sikirini tachi kila nikibinya elufi hii inakunya na nyingine. Pwelo bebwi wangu
Jamaa: Hahahaa haya dia
In this world nothing is certain than Tax and Death.
Mdada: Bebi mambwo? Jamaa: Poa nambie Mdada: Vipw umelalwa? Jamaa: Unasemaje? Mdada: Nauliza umelwala? Jamaa: Mhhhh! Cjalala baby hata ucngz cna
Mdada: Mim menyew cjalwala ---- mijitu inapiga kelelwe hapa nje kwetu hadi inaboowa
Jamaa! Nin?
Mdada: kuna kelwele hapa nje ya numba yetu usingizwi hakuna kabiswa
Jamaa: hahahaa pole baby
Mdada: Bwebi mbona unanichekwa sasa?
Jamaa: Jaribu kuandika vizuri hunny
Mdada: Hehehwehwe, cunajua cmu mupya alafu sikirini tachi kila nikibinya elufi hii inakunya na nyingine. Pwelo bebwi wangu
Jamaa: Hahahaa haya dia
In this world nothing is certain than Tax and Death.