Gwesefe
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 680
- 377
Simu za tachi skrini noma!
Hizi simu za tachi skrini zinavyosumbua ni balaa tupu. Mdada kanunua akawa anashindwa kutuma meseji kwa bebi wake:
Mdada: Bebw mambwo?
Jamaa: Poa nambie.
Mdada: Vipww umeralwz?
Jamaa: Unasemaje?
Mdada: Naurriisa umeraalwz?
Jamaa: Mhhh! Sijalala baby hata usingizi sina.
Mdada: Nie menyew cjalwara kumna mijitu inampiga kerelwe hapa kwettu hadi inaboowa.
Jamaa: Nini?
Mdada: kuna kelelwe hapa nje ya numba etu usingizwi hakuna kabiswaa.
Jamaa: Ha ha haaa! Pole baby wangu.
Mdada: Bwebi mbona unanichekwa sawsa?
Jamaa: Jaribu kuandika vizuri honey!
Mdada: Hehehwehwe, c unajuwwa cimun mupya arraf sikirini taschi kila nikibinywa elufi hii inakunya na nyingwine, pwelo bebwi wangu!
Jamaa: ha ha haa haya dear.
Hizi simu za tachi skrini zinavyosumbua ni balaa tupu. Mdada kanunua akawa anashindwa kutuma meseji kwa bebi wake:
Mdada: Bebw mambwo?
Jamaa: Poa nambie.
Mdada: Vipww umeralwz?
Jamaa: Unasemaje?
Mdada: Naurriisa umeraalwz?
Jamaa: Mhhh! Sijalala baby hata usingizi sina.
Mdada: Nie menyew cjalwara kumna mijitu inampiga kerelwe hapa kwettu hadi inaboowa.
Jamaa: Nini?
Mdada: kuna kelelwe hapa nje ya numba etu usingizwi hakuna kabiswaa.
Jamaa: Ha ha haaa! Pole baby wangu.
Mdada: Bwebi mbona unanichekwa sawsa?
Jamaa: Jaribu kuandika vizuri honey!
Mdada: Hehehwehwe, c unajuwwa cimun mupya arraf sikirini taschi kila nikibinywa elufi hii inakunya na nyingwine, pwelo bebwi wangu!
Jamaa: ha ha haa haya dear.