Mrembo na Touch Screen Galaxy

Mrembo na Touch Screen Galaxy

Bujibuji Simba Nyamaume

Platinum Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,662
Reaction score
161,660
BI DADA KANUNUA CM MPYA...! Touch
Screen
Mdada : bebi mambwo
Jamaa : poa nambie
Mdada : vipw umelalw?
Jamaa: unasemaje? Cjakuelewa hapo.
mdada : nauliza umelalya?
Jamaa: mmmh! Cjalala baby hata
ucngiz cna.
Mdada : mim menyew cjalwala kunya
mijitu
inapiga kelelw hapa nje kwetu hadi
inaboo wa.
Jamaa: unasema ku..?
Mdada : kuna kelelwe hapa nje ya
numba yetu
usingwizi hakuna kabwisa.
Jamaa: hahaha pole huny.
Mdada : bwebi mbona unanichekwa
sasa?
Jamaa: jaribu kuandika vizuri baby.
Mdada : hehehehwehwehwe. Cunajua
simu
mupya alafu skirini tachi kila nikibinya
elufi hii
inakuja elufi ingine. Pwelo bebwi
wangu.
Jamaa : hahhaaa haya myn.
CHEZEA SCREEN TOUCH WEWE
 
mmh!!

kamwa niiwona swehem fulwani!

bwuji buji hii imejwirudia!

btw, hweko!
 
Hahahaaa..ngoja niendelee tu na torchscreen
1426744_10200210470543208_1403619450_n.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom