Mrembo na Touch Screen Galaxy

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,894
155,916
BI DADA KANUNUA CM MPYA...! Touch
Screen
Mdada : bebi mambwo
Jamaa : poa nambie
Mdada : vipw umelalw?
Jamaa: unasemaje? Cjakuelewa hapo.
mdada : nauliza umelalya?
Jamaa: mmmh! Cjalala baby hata
ucngiz cna.
Mdada : mim menyew cjalwala kunya
mijitu
inapiga kelelw hapa nje kwetu hadi
inaboo wa.
Jamaa: unasema ku..?
Mdada : kuna kelelwe hapa nje ya
numba yetu
usingwizi hakuna kabwisa.
Jamaa: hahaha pole huny.
Mdada : bwebi mbona unanichekwa
sasa?
Jamaa: jaribu kuandika vizuri baby.
Mdada : hehehehwehwehwe. Cunajua
simu
mupya alafu skirini tachi kila nikibinya
elufi hii
inakuja elufi ingine. Pwelo bebwi
wangu.
Jamaa : hahhaaa haya myn.
CHEZEA SCREEN TOUCH WEWE
 
mmh!!

kamwa niiwona swehem fulwani!

bwuji buji hii imejwirudia!

btw, hweko!
 
Hahahaaa..ngoja niendelee tu na torchscreen
1426744_10200210470543208_1403619450_n.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom