mcmalck
Senior Member
- May 25, 2012
- 134
- 57
Hizi touch screen zinavyosumbua watu mdada kanunua cmu mpya Screen touch
Mdada: Bebi mambwo?
Jamaa: Poa nambie
Mdada: Vipw umelalwa?
Jamaa: Unasemaje?
Mdada: Nauliza umelwala?
Jamaa: Mhhhh! Cjalala baby hata ucngz cna
Mdada: Mim menyew cjalwala ---- mijitu inapiga kelelwe hapa nje kwetu hadi inaboowa
Jamaa! Nin?
Mdada: kuna kelwele hapa nje ya numba yetu usingizwi hakuna kabiswa
Jamaa: hahahaa pole baby
Mdada: Bwebi mbona unanichekwa sasa?
Jamaa: Jaribu kuandika vizuri hunny
Mdada: Hehehwehwe, cunajua cmu mupya alafu sikirini tachi kila nikibinya elufi hii inakunya na nyingine. Pwelo bebwi wangu
Jamaa: Hahahaa haya dia
Mdada: Bebi mambwo?
Jamaa: Poa nambie
Mdada: Vipw umelalwa?
Jamaa: Unasemaje?
Mdada: Nauliza umelwala?
Jamaa: Mhhhh! Cjalala baby hata ucngz cna
Mdada: Mim menyew cjalwala ---- mijitu inapiga kelelwe hapa nje kwetu hadi inaboowa
Jamaa! Nin?
Mdada: kuna kelwele hapa nje ya numba yetu usingizwi hakuna kabiswa
Jamaa: hahahaa pole baby
Mdada: Bwebi mbona unanichekwa sasa?
Jamaa: Jaribu kuandika vizuri hunny
Mdada: Hehehwehwe, cunajua cmu mupya alafu sikirini tachi kila nikibinya elufi hii inakunya na nyingine. Pwelo bebwi wangu
Jamaa: Hahahaa haya dia