Screen size za simu

Screen size za simu

Joined
Nov 8, 2017
Posts
65
Reaction score
66
SCREEN SIZE
Makampuni ya utengenezaji wa simu kama Iphone ,samsung, Xiaomi n.k yanaanza kuzingua kwa
utengenezaji wa simu wenye vioo vikubwa vya simu mpaka inasababisha mtumiaji kukerwa anapotumia.
Naona sasa simu zinaanza kuwa na ukubwa wa inch 7' dah!.
Simu nayotumia saivi ina ukubwa wa inch 6.4' naona jau kwny utumiaji sasa iyo inch 7 itakuwaje.
Ndugu yangu tuambie wewe unatumia simu yenye ukubwa wa kioo inch ngap na je unaifurahia?

Screenshot_20230527-132909_Chrome.jpg
 
6.8 ni ya kawaida mbona na naishika mkono mmoja na kuandika jumbe zangu bila shida.

Ofcourse size kuanzia nchi 6 na kuendelea inahitaji na mtumiaji awe na ukubwa huo huo wa futi 6 na kuendelea.

Mimi hata wakitengeneza ya nchi 8 bado nakua nayo comfortable.
 
Kwa simu nyingi za android kuna feature ya one handed mode ambayo hata kama screen yako kubwa unaitumia hii na kuifanya screen kuwa ndogo ndani ya screen yako kubwa
 
Kwa simu nyingi za android kuna feature ya one handed mode ambayo hata kama screen yako kubwa unaitumia hii na kuifanya screen kuwa ndogo ndani ya screen yako kubwa
Pia hata Google keyboard unaweza kuiweka katika one handed mode bila kuaffect screen yote na hii inakuwa useful kama unataka kutype kwa mkono mmoja
Mi natumiaga sana ya keyboard nikiwa natype kwa mkono mmoja
 
SCREEN SIZE
Makampuni ya utengenezaji wa simu kama Iphone ,samsung, Xiaomi n.k yanaanza kuzingua kwa
utengenezaji wa simu wenye vioo vikubwa vya simu mpaka inasababisha mtumiaji kukerwa anapotumia.
Naona sasa simu zinaanza kuwa na ukubwa wa inch 7' dah!.
Simu nayotumia saivi ina ukubwa wa inch 6.4' naona jau kwny utumiaji sasa iyo inch 7 itakuwaje.
Ndugu yangu tuambie wewe unatumia simu yenye ukubwa wa kioo inch ngap na je unaifurahia?

View attachment 2636651
Itakubidi utumie Brand kama sony experia wana compact phones,google pixels matoleo ya 3,3a.
Hao ndio waliobaki na simu zenye vioo vidogo tu!
 
Itakubidi utumie Brand kama sony experia wana compact phones,google pixels matoleo ya 3,3a.
Hao ndio waliobaki na simu zenye vioo vidogo tu!
Hapana
Asus Zenfon 9 ni simu ndogo na Asus anaendelea kutengeneza compact flagship
Xiaomi 13 (plain) nayo ni compact, Xiaomi 12 (plain) nayo ni compact
Samsung Galaxy S21 (plain) na S22 plain pia ni compact
iPhone 11 mini, 12 mini na 13 mini nazo no compact na sio outdated
 
Napenda simu yenye screen kubwa ila iwe pana...hizi ndefu nyembamba ni ujinga!
Ebu naombeni simu zenye screen pana,nabadilisha simu mwezi ujao!
 
Nakumbuka 2017 mara ya kwanza nimenunua simu yenye display ya 5.5 inch nilikua naiona kubwa sana lakini sasa nina 6.67 naiona ya kawaida
5.5 ya zamani ni kama 6.6 ya sasa inakuwa fupi kidogo ila nene zaidi mfano hii Galaxy note 5 ya 2015 yenye 5.5 na s23+ yenye 6.6

Screenshot_20230529-190716_1.png


Simu za zamani zilikua na Bezel kubwa ndio maana zilikua kubwa japo vioo vidogo.
 
Back
Top Bottom