Scholes Amtaka Ronaldo kuwa Goalkeeper😃

Scholes Amtaka Ronaldo kuwa Goalkeeper😃

Mesi ni mchezaji mzuri ktk mfumo aliouzoea. Pia ana pata mapenzi yote kutoka ktk nchi yake na wachezaji wenzake. Hakimbii mpka awe na mpira. Hapo ndo amemzidi Ronaldo. Ronaldo anatamani kufanya vitu vingi kwa pamoja anatamani kukaba hamasa, kucheza na jukwaa, mitandao, na hapo hapo anakimbiza rekodi zake binafsi.
Kwa hiki ulichosema, mbona kama Ronaldo n bora kuliko Messi mana Ronaldo anapambana tofauti na Messi anayesubir kuletewa tuu.

Au mm sijaelewa ulichoandika?
 
Kwa hiki ulichosema, mbona kama Ronaldo n bora kuliko Messi mana Ronaldo anapambana tofauti na Messi anayesubir kuletewa tuu.

Au mm sijaelewa ulichoandika?
Uko sahihi. Ronaldo Yuko ktk presha kubwa kuliko Messi. Yeye Ronaldo ana dili sana mitandao na jukwaa hapo ndiyo anapitaka kuongezea presha yake. Messi is on the game. He plays without too much presha kama ya Ronaldo. Ego ya Ronaldo ni kubwa it cost him big time kubaki pale pale ktk mstari alioutengeneza. Messi yeye hata ligi aliyoenda ni nyepesi ili acheze kwa raha akivunja rekodi zake peke yake. Huku CR7 anapambana na anacheza mpiravwa nguvu sana. He has proved to fit in 7 premier leagues maana yake ni mzuri.
Mechi iliyopita amefanya makosa kweli lakini si mengi ya ku score kama watu wanavyotuaminisha humu. Natamani mechi ijayo aanzie benchi ili Martenez afanya anayoyafanya kikosini koz kila mtu anamlaulu Ronaldo wakati kocha hakuwa na approach nzuri ya gam ya Kongo. Ile Kongo ilicheza vizuri.
 
Uko sahihi. Ronaldo Yuko ktk presha kubwa kuliko Messi. Yeye Ronaldo ana dili sana mitandao na jukwaa hapo ndiyo anapitaka kuongezea presha yake. Messi is on the game. He plays without too much presha kama ya Ronaldo. Ego ya Ronaldo ni kubwa it cost him big time kubaki pale pale ktk mstari alioutengeneza. Messi yeye hata ligi aliyoenda ni nyepesi ili acheze kwa raha akivunja rekodi zake peke yake. Huku CR7 anapambana na anacheza mpiravwa nguvu sana. He has proved to fit in 7 premier leagues maana yake ni mzuri.
Mechi iliyopita amefanya makosa kweli lakini si mengi ya ku score kama watu wanavyotuaminisha humu. Natamani mechi ijayo aanzie benchi ili Martenez afanya anayoyafanya kikosini koz kila mtu anamlaulu Ronaldo wakati kocha hakuwa na approach nzuri ya gam ya Kongo. Ile Kongo ilicheza vizuri.
Wafia Messi hawawezi kukuelewa šŸ˜‚
 
Wafia Messi hawawezi kukuelewa šŸ˜‚
Siyo kunielewa Mimi hawaelewi football. Kama jamaa wa Canada asingefunga 3. Hadi leo hii inshu ingekuwa hattrik ya Messi. Wanasahau kufunga zaidi ya goli mbili ktk mshindano makubwa kama haya siyo ujanja wa straiker mara nyingi mfumo ndo unafunga. Ukitaka kuamini angalia ujerumani jana. Mfumo ndo umefunga magolinyite mawili. Maana kama ni uzoefu walionza ni wazoefu zaidi lakini mfumo hauku wabeba.
Ni kama kipindi kile fesalinanafunga goli Tano huwezi kusema fesalinninmfungaji mzuri. No mfumo wao dhidi ya mfumo wa watu Saba ndo umeibeba Azam. Lakini fesali siyo mfungaji mzuri hivyo. Sasa kama ni kocha huwezi kumsifia Fesali kuwa mfungaji mzuri. The same to Ronaldo na Messi mifumo ya timu inawabeba na kuwaangusha sometimes. Kuna gemu itachezwa na Messi ataanzia sabu au ataenda sabu.
 
Siyo kunielewa Mimi hawaelewi football. Kama jamaa wa Canada asingefunga 3. Hadi leo hii inshu ingekuwa hattrik ya Messi. Wanasahau kufunga zaidi ya goli mbili ktk mshindano makubwa kama haya siyo ujanja wa straiker mara nyingi mfumo ndo unafunga. Ukitaka kuamini angalia ujerumani jana. Mfumo ndo umefunga magolinyite mawili. Maana kama ni uzoefu walionza ni wazoefu zaidi lakini mfumo hauku wabeba.
Ni kama kipindi kile fesalinanafunga goli Tano huwezi kusema fesalinninmfungaji mzuri. No mfumo wao dhidi ya mfumo wa watu Saba ndo umeibeba Azam. Lakini fesali siyo mfungaji mzuri hivyo. Sasa kama ni kocha huwezi kumsifia Fesali kuwa mfungaji mzuri. The same to Ronaldo na Messi mifumo ya timu inawabeba na kuwaangusha sometimes. Kuna gemu itachezwa na Messi ataanzia sabu au ataenda sabu.
šŸ¤
 
Ajabu hapa ni Argentina kuishia njiani na Portugal kufika mbali.

Tupo hapa sote tutashuhudia.
 
Mambo mengine ni personal tatizo watu hua tunataka willing zetu ziwe universal kitu ambacho ni wrong
 
Hahaha, hoja hapa ni kutokumlisha gwiji maneno. Sidhani kama alimaanisha Ronaldo apangwe nafasi ya goal keeper, alichomaanisha ni Ronaldo hapaswi kuanza sababu ya umri wake.
CR7 anatupiwa sana mawe, 'Critics' Kila kona.

Vyovyote iwavyo bado CR7 atabaki kwenye rekodi kama mmoja wa wachezaji Bora kuwahi kucheza soccer..
 
Mkuu mimi ni team Messi ila napata ukakasi kidogo kusema Ronaldo ni mchezaji wa kawaida labda niseme tu hajafika level ya Messi na ameisha kwa sasa.
Ronaldo alikuwa mchezaji tegemeo, alitegemewa na kila timu alizochezea achilia mbali timu ya taifa, lakini kwa sasa anatakiwa akubali ukweli kwamb umri umemtupa mkono.
Ili kulinda heshima yake amshukuru kocha kwa kumjumuisha lakini pia amwache kocha apange timu yake ya ushindi kwa uhuru, bila shinikizo la Ronaldo na mashbiki wake
 
Ronaldo alikuwa mchezaji tegemeo, alitegemewa na kila timu alizochezea achilia mbali timu ya taifa, lakini kwa sasa anatakiwa akubali ukweli kwamb umri umemtupa mkono.
Ili kulinda heshima yake amshukuru kocha kwa kumjumuisha lakini pia amwache kocha apange timu yake ya ushindi kwa uhuru, bila shinikizo la Ronaldo na mashbiki wake
Awe anamuingiza dakika ya 80+.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom