Scholes Amtaka Ronaldo kuwa Goalkeeper😃

Scholes Amtaka Ronaldo kuwa Goalkeeper😃

Mkuu mimi ni team Messi ila napata ukakasi kidogo kusema Ronaldo ni mchezaji wa kawaida labda niseme tu hajafika level ya Messi na ameisha kwa sasa.
Kweny hili kila mtu anaendeshwa na mapenzi tuu, mbaya zaidi n kuendekeza hayo mapenzi.

mm namkubali Ronaldo kuliko Messi Japokuwa Messi n noma.
 
Niujinga kusema cr7 niwakawaida kama wao, vp dogo gernacho aliesema yeye role model wake ni cr7 nandio anamkubali hii ikafanya dogo atolewe kikosin coz hana nidham kwa mbuzi
Watu wenye akili kama zako ndo mnawaona watu fulani n Mungu
 
Huyo Messi mwenyewe mnampamba kwakuwa timu inashinda subirini wapigwe mtasikia mengi, ni vile tu wachezaji wa Argentina wanamuheshimu ila uwanjani timu ikiwa Haina mpira Messi hana msaada wowote.anakuwa abiria mzigo.
 
Jifunze kutoa appreciation kwawatu nakaz zao huo ndo uungwana nyie ndo roho mbaya zinawaua
Mkuu, hakuna mahali nimemponda Messi au Ronaldo.

Ila nyie mashabiki ndo mnafanya wachezaji wajione Wakubwa kupitiliza Au kuwafanya wawe wanyonge.

Game moja tuu tyr nshaanza maneno mbovu mbovu, Ronaldo angefunga ht goli moja au timu kushinda mngekuja na hizi porojo?
 
Huyo Messi mwenyewe mnampamba kwakuwa timu inashinda subirini wapigwe mtasikia mengi, ni vile tu wachezaji wa Argentina wanamuheshimu ila uwanjani timu ikiwa Haina mpira Messi hana msaada wowote.anakuwa abiria mzigo.
Watu humu wanavyompamba huyo Messi Utadhani alikuwa uwanjani pekee yake.

Timu mzima inapambana na wngn kulazimisha pasi za mwisho zimfikie Messi mana tyr wameshajiwekea akilini kuwa Messi yupo ndani, ila sifa n kwa Messi pekee yake.

Siku yaja Messi atapotea uwanjani then watapata pengine pa kutolea povu lao
 
Paul Scholes ameibua mjadala mkubwa baada ya kumchana Cristiano Ronaldo kufuatia mwanzo mbovu wa Portugal kwenye World Cup.

Akiongea kwenye podcast ya The Good, The Bad & The Football, gwiji huyo wa Manchester United alisema:

ā€œ Nadhani ni ngumu kwa kocha… nilimuuliza Roberto Martinez off-camera kama Ronaldo ni tatizo kwake, kwa sababu nahisi ni tatizo kidogo. Ukiwa na miaka 41 kuna nafasi moja tu unaweza kuanza uwanjani… goalkeeper ā€

Kauli hiyo imezua mjadala mkubwa baada ya Ronaldo kushindwa hata kupiga shot on target dhidi ya DR Congo.

Scholes akaongeza kuwa kinachoweza kumuuma zaidi CR7 ni kuona rivals wake wakianza World Cup kwa moto mkubwa huku yeye akihangaika🤣🤣🤣

Wakati Ronaldo:

  • Alimaliza first half bila shot yoyote
  • Bila duel yoyote ya maana
  • Na Portugal wakionekana hoišŸ˜…šŸ˜…

Kwa upande mwingine:

  • Lionel Messi alianza kwa hat-trick šŸ”„
  • Kylian MbappĆ© akaanza kwa brace šŸ”„

CR7, Mr. Champions League, The Portuguese Machine, Captain wa Portugal na Mnyama wa Madeira ameendelea kuwa mjadala kutokana na performance yake ya hivi karibuni.

Kinachowafariji mashabiki wake ni kuwa jamaa bado anaongoza kwa kuwa na followers wengi Instagram akiongoza kwa 667m followers na pia ndiye mchezaji tajiri kuliko wote.
A real GOAT knows when to exit.

Ndicho anachokosea Cristiano Ronaldo, angeondoka zake mapema bado angekua na influence kubwa tena kubwa sana kwenye soka ukilinganisha na sasa
 
A real GOAT knows when to exit.

Ndicho anachokosea Cristiano Ronaldo, angeondoka zake mapema bado angekua na influence kubwa tena kubwa sana kwenye soka ukilinganisha na sasa
Hata Ronaldo analijua hilo lakini sasa anaondokaje bila World Cup?
Ndio anajitutumua sasa kama Kibabage.
 
Yan timu nzima ya ureno imeshindwa kuidhibiti congo huku ikiwa nawachezaji wazuri kila eneo leo analaumiwa cr7 pekeake hao akina Bruno wamefanya nn uwanjana....aseee uchawi kweli upo
Mlitazama mpira?
Kocha wa ureno siyo mzuri sana. Kuna timu zinapata red card na zinacheza vizuri. Ubovu wa kocha anaubeba Ronaldo.
Ni kama ujerumani jana kama siyo zile sabu Senegal pamojanna ujinga wake mwingi angeshinda Ile gemu. Kocha alikosa mbinu za kuvunja kuvunja ukuta wa watu watano ambao hawapotei ktk njia wala ktk mstari. Ile laini kuivunja huwezi kumtoa vitinha. Kocha han akili.
 
Kweny hili kila mtu anaendeshwa na mapenzi tuu, mbaya zaidi n kuendekeza hayo mapenzi.

mm namkubali Ronaldo kuliko Messi Japokuwa Messi n noma.
Mesi ni mchezaji mzuri ktk mfumo aliouzoea. Pia ana pata mapenzi yote kutoka ktk nchi yake na wachezaji wenzake. Hakimbii mpka awe na mpira. Hapo ndo amemzidi Ronaldo. Ronaldo anatamani kufanya vitu vingi kwa pamoja anatamani kukaba hamasa, kucheza na jukwaa, mitandao, na hapo hapo anakimbiza rekodi zake binafsi.
 
Huyo Messi mwenyewe mnampamba kwakuwa timu inashinda subirini wapigwe mtasikia mengi, ni vile tu wachezaji wa Argentina wanamuheshimu ila uwanjani timu ikiwa Haina mpira Messi hana msaada wowote.anakuwa abiria mzigo.
Argentina walifungwa na Saudia Arabia WC 2022 na bado walibeba ndoo. Messi ana faida ya ufupi na uwezo wa kucheza eneo kubwa zaidi uwanjani,ukiacha uwezo mwingine alio nao kama dribling n.k
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom