Scandinavia Bus: Jamani nimelimiss hili basi...

Scandinavia Bus: Jamani nimelimiss hili basi...

Hizo Marcopolo Paradiso na Viaggio ziliuzwa kwa Alsaedy. Nyingine kwa Champion.

Scandinavia ilikuwa levo nyingine katika usafirishaji wa abiria katika ukanda wa Afrika ya Mashariki.

na hakuna kampuni itakayokuja kufika level za hii kampuni mshahara ulikuwa 80000 kwa kipindi hicho ila hela unayopata per day ni kubwa zaidi ya mshahara kwa kiasi kingine waswahili tumechangia kuua hii kampuni ndio make kwenye green star wamebana wamejaza waarab na waburushi, kitu paradiso dar kampala, viagio dar lusaka, dar mombasa, andare class. sumry asubiri sana na mahino yake yale yanamtia kidole

ila biashara ya mabasi ni ngumu sana
 
Mkuu Sumry kwa sasa haifai hata kuwa daladala nivimeo mnooo, kwa ujumla TZ hakuna aliyekuwa anaetoa na atoae huduma za uhakika kama scand!

Mkuu umesahu Fresh ya Shamba
 
attachment.php


attachment.php


Nimelimiss sana hili bus, sijui lini hii kampuni itafufuka tena maana nakumbuka miaka ya nyuma iliwahi kupotea katika ulimwengu wa usafirishaji lakini baadae ikarudi tena...

Sumaye akiwa waziri mkuu tena itarudi
 
na hakuna kampuni itakayokuja kufika level za hii kampuni mshahara ulikuwa 80000 kwa kipindi hicho ila hela unayopata per day ni kubwa zaidi ya mshahara kwa kiasi kingine waswahili tumechangia kuua hii kampuni ndio make kwenye green star wamebana wamejaza waarab na waburushi, kitu paradiso dar kampala, viagio dar lusaka, dar mombasa, andare class. sumry asubiri sana na mahino yake yale yanamtia kidole

ila biashara ya mabasi ni ngumu sana

Inawezekana,hivi ni kwanini inakuwa ngumu?nn hasa tatizo la biashara hizi maana ni kweli wanafikia hatua wana colapse
 
Ngorika ipo juu kwa sasa

mwenye hii kampuni mwanae si mwizi ndio alikwiba gari ya khadija kopa?

sijui kwa nini hawa wenzetu wa kaskazini wenye mabasi karibu wote ni kazi mbili
 
Inawezekana,hivi ni kwanini inakuwa ngumu?nn hasa tatizo la biashara hizi maana ni kweli wanafikia hatua wana colapse

usumbufu toka serikalini jumlisha usimamizi mbovu na tamaa wengi wanataka dominance wakati uwezo bado mdogo unataka kupereka basi kila njia tena bila hata kufanya utafiti wakati ulikoanzia biashara bado kumekushinda
 
Anayejua kisa cha Scandinavia kudorora hadi kufa atujuze otherwise ntajuza kilichotokea hadi kampuni imekufa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Mi nadhani badala ya kuanza na mkwara ungeandika hicho unachokijua ili watu wajadili uhalisia wake. Soma thread hii kuanzia mwanzo ili uje na kitu cha tofauti na kilichoandikwa humu.
 
Back
Top Bottom