Scandinavia Bus: Jamani nimelimiss hili basi...

Scandinavia Bus: Jamani nimelimiss hili basi...

Enzi za kuchimba dawa. Hivi siku hizi ukibanwa njiani inakuwaje

mfano pale makambako wamejenga vyoo msituni wameachana na technologia ya kuchimba vishimo kwa ajil ya kina mama
 
Sumry nao mwisho wake kama wa hawa jamaa!

Sijui hii biashara ina laana au nini kwani hakuna anayedumu nayo.....Walikuwepo kina Shabaha akipandisha mabasi 6 na kushusha the same number toka arusha sasa kaputi...Huko lake zone kulikuwa Musoma bus sasa mwenyewe anatembelea baiskeli (sina hakika kama bado yupo hai waliopo pale nyasho wanaweza kutujuza)....Pande hizo zilikuwepo Tanganyika bus, Trans Africa nk zoote kaputi... Msae naye alitesa mno ikawa mara metro...Angalia Mohamed Trans naye Chali....Kuna tatizo....
 
Scandinavia embu kamuulizeni yule mkubwa wa Arusha. Kifo chake cha mende nanii........ anahusika kwa asilimia mia moja. Chezeya siasa nyinyi

Mkono wa hayo mabasi ulikuwa mrefu, afadhali lakini. Si wale wa kuweka pesa Usz
 
nimeipenda hii, ila sijui ulikua unatumia maujanja gani kuwapata au ulikuoa unatoa ofa za nauli?

free kaka ukimpakia mkifika kitonga menu unaingia nae kule kwa staff sista duh
gani ambae alikuwa hapendi kupanda hili basi
kipindi hicho tumaini iringa ipo hot wapo wakina miss flan bado nikiwa route za mbeya usipime
 
free kaka ukimpakia mkifika kitonga menu unaingia nae kule kwa staff sista duh
gani ambae alikuwa hapendi kupanda hili basi
kipindi hicho tumaini iringa ipo hot wapo wakina miss flan bado nikiwa route za mbeya usipime

si mchezo...we mkareeee!!
 
ndo hawa green star mjomba japo yameshachoka sana kwa route ya mwanza -dar lazma ukeshe kuna mengine walifanya kubadilisha rangi
 
Dah! Mkuu umanikumbusha mbali sana.. Lilikuwa basi langu hilo wakati niko shule Kampalaaaaaaaa! Nikipanda hilo najua nimefika salama tena mapema 2 labda litokee tatizo nje ya uwezo wao. Sio kama Akamba Regional au Falcon.

RIP Scandinavia

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Dah! Mkuu umanikumbusha mbali sana.. Lilikuwa basi langu hilo wakati niko shule Kampalaaaaaaaa! Nikipanda hilo najua nimefika salama tena mapema 2 labda litokee tatizo nje ya uwezo wao. Sio kama Akamba Regional au Falcon.

RIP Scandinavia

Last month ndiyo kaburi lao limesilibwa kabisa kwa kutupiwa vitu nje pale ofisini kwao KAMATA kwa kushindwa kulipa kodi ya pango.


Very true RIP Scandnavia
 
Dah! Mkuu umanikumbusha mbali sana.. Lilikuwa basi langu hilo wakati niko shule Kampalaaaaaaaa! Nikipanda hilo najua nimefika salama tena mapema 2 labda litokee tatizo nje ya uwezo wao. Sio kama Akamba Regional au Falcon.

RIP Scandinavia

Last month ndiyo kaburi lao limesilibwa kabisa kwa kutupiwa vitu nje pale ofisini kwao KAMATA kwa kushindwa kulipa kodi ya pango.


Very true RIP Scandnavia

Niliona ile wangu.. Surely kila lenye mwanzo lina mwisho!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kwakweli imenigusa sana.
Hii ilikuwa ni kampuni katika hadhi ya kimataifa.
Walifikia mahali hawatafuti abiria bali abiria wanawatafuta kutokana na Ubora.

Si kweli eti kujali muda kupiwaponza, in fact kuliwajenga sana. Si kweli eti kuingia soko la EAC kuliwaponza, kinyume chake walifanikiwa akina Big Mayai kutoka jirani wakafutika.
Si kweli kuwa mizigo na pesa ziliwapunguzia mapato, hizo ziliwaongezea kama sehemu ya mizigo.

Sababu kubwa ilikuwa hesabu za kupanua kampuni kwa venture katika viwanda vya utengenezaji.
Viwanda vikaingia nyongo na kukata mtaji. Mnakumbuka kiwanda kilichotketea kwa moto?...........

Ilikuwa katika std za mataifa!
 
Scandi sitoyasahau mabasi haya, nimepiga nayo trip sana Arusha-klm-Dar enzi zake..
 
umenitouch sana katika hili nimesoma form one mpaka nimemaliza chuo kutokana na hii kampuni naijua in and outView attachment 70458View attachment 70459View attachment 70460View attachment 70461View attachment 70462
nimechukua wanawake wengi sana kupitia hii kampuni nimefanya mambo mengi tu kupitia hii kampuni

Hizo Marcopolo Paradiso na Viaggio ziliuzwa kwa Alsaedy. Nyingine kwa Champion.

Scandinavia ilikuwa levo nyingine katika usafirishaji wa abiria katika ukanda wa Afrika ya Mashariki.
 
ila sio siri Dar Express nao magari yao yamechoka mpaka aibu...

Kuna mdau anasema toka mzee afiwe na mke wake kapata king'asti mpya, basi mzee analombwalombwa mpaka kasahau kila kitu!!!!

Ila nasikia anataka kuleta mabasi sita mapya kwa mpigo ili kunusuri hali hiyo.
 
Anayejua kisa cha Scandinavia kudorora hadi kufa atujuze otherwise ntajuza kilichotokea hadi kampuni imekufa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom