MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,604
Kawaida samahani za namna hii zinakuja pale panapokuwa na shinikizo la mtu wa tatu (au watu), lakini ukweli mkosewa huwa hana nia ya kukubali kusamehe.<br />
<br />
heee! Si bora asiombe.
Kawaida samahani za namna hii zinakuja pale panapokuwa na shinikizo la mtu wa tatu (au watu), lakini ukweli mkosewa huwa hana nia ya kukubali kusamehe.<br />
<br />
heee! Si bora asiombe.
Usiwe hivyo Dada! Inategemea na aina ya kosa. Kosa likiwa kubwa na ikiwa hutosamehewa kunaweza kuhatarisha mahusiano, usichoke kuomba samahani hadi usamehewe.Mi Msamaha mara moja tu ukikataa sikubembelezi.
<br />Usiwe hivyo Dada! Inategemea na aina ya kosa. Kosa likiwa kubwa na ikiwa hutosamehewa kunaweza kuhatarisha mahusiano, usichoke kuomba samahani hadi usamehewe.
<br />Kawaida samahani za namna hii zinakuja pale panapokuwa na shinikizo la mtu wa tatu (au watu), lakini ukweli mkosewa huwa hana nia ya kukubali kusamehe.
dah Husninyo umenikumbusha mbali na sasa kuna kitabu cha Danniel Steel nakisoma mdada anayeomba msamaha hata kwa makosa yaso yake!! Kama nakuona ulivyo mbishi aisee!<br /><br />
<br /><br />
sijazoea kuomba msamaha kwasababu sijazoea kumkosea mtu. Inapobidi huwa nafanya hvyo ila hadi niridhike kosa ni langu, kama umechangia kwenye hilo kosa msamaha utauomba wewe aisee.
dear kuna batiki la nigeria nimekuletea pamoja na viatu..... Halafu nina h..u ile mbaya!! Akiingia line mchezo umekwisha..... Unajua makabila mengine haturuhusiwi kumwambia mwanamke nimekosa na ukibainika unatengwa!!
<br />dah Husninyo umenikumbusha mbali na sasa kuna kitabu cha Danniel Steel nakisoma mdada anayeomba msamaha hata kwa makosa yaso yake!! Kama nakuona ulivyo mbishi aisee!
Mkorofi wewe dah!
<br />
<br />
Ongea vizuri kabla sijatoboa siri aisee!
Kwani D.A hupendi kufa..?
Ndo maana nilisema mimi hupeleka Wax la Nigeria (Original) then naomba mchezo kwisha habari... Na siku hiyo mechi ikikubalika Performance ni 100%....
Umeongea hivi unapenda ice cream au pipi??/ Nidai
Mi ntakula ice cream bana!
Wanajf n vchwa,yn ht km m2 ulikuwa seriaz unacheka..only sayin am sor with feelingz aaah inaonyesha kwel ulikosea even kna wngn hawaelew hta!
Tukutane kwa Bakhresa saa 10.00 jioni sawa??