Sayansi yafanya mambo yake tena!!! Mungu yuko wapi?

yep! kulikuwa na natives pale ... ! ( nimesahau kabila yao ) .... since jamaica ni kisiwa na columbus alitoka mainland so alikifanya kijulikane kule alipotokeaa yeye kwamba "jamaaaniiii kuna kisiwa kinaitwa jamaica... habari ikifika europe.. imefika states.. ikifika states imefika asia.. ikifika asia imefika dunia nzima....

unaswali jengine ?!

Kwahiyo Sayansi inapo sema kuwa C aligundua Jamaica ni UONGO? bali yeye ndie alikuwa mshamba wa kwanza wa kizungu kuiona Jamaica? Sasa cha ajabu ni kipi sayansi ilipo bahatika kuona hiyo sayari ambayo ilikuwa karne na karne?

Mimi ningefurai kama sayansi ingeweza zuia kimbunga na matetemeko ya ardhi na kuongeza umri wa maisha ya watu. Ndioo maana kwenye post yangu ya kwanza nilikujibu kuwa, hakuna kipya kwenye hii mada.
 
I agry wth all of you

You cannot possibly and remain logical. Some of us say god does not exist, some say he does, some say it is simply impossible to kow, how can you agree with all of us?
 
Mbona nishakujibu, au hujui kusoma?

Sayansi inajenga knowledge base yake step by step, watu walikuwa wanaamini kwamba jua linazunguka dunia, wakaja kina Galileo na Copernicus wakagundua dunia inazunguka jua.

Watu walikuwa wanaamini kwamba speeds zinaweza kuwa added indefinitely, akaja Einstein katika relativity akatuonyesha kwamba the speed of light is the speed limit of our universe.

Kwa hiyo sayansi haibishi kwamba kuna vitu ambavyo hatukuviju jana tumevijua leo, wala ambavyo hatuvijui leo tutakavyovijua kesho.
Ukijua hilo, utaona kwamba swali lako halina msingi.

Swali lako lingekuwa na msingi kama sayansi ingejidai kama dini kuwa na majibu yote ya maswali yote tangu mwanzo.

Labda swali zuri zaidi ni kuuliza watu wa dini kama wakristo, kwa nini dini haikutuambia kuhusu hizi sayari? Kwa nini biblia ilivyoandikwa na tukaambiwa Yesu ndiye njia pekee ya kumfikia mungu, biblia haikufafanua kwamba, kama wakija kutokea watu kwenye sayari nyingine, mwokozi wao atakuwa Yesu huu huyu wetu au wao nao watakuwa na Yesu wao? Na kama watakuwa na Yesu wao, ni kweli kwamba Yesu ndiye njia pekee kumfikia mungu ?

Unalazimisha majibu, ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha

Moja: Kanini sayansi yako ilishindwa kugundua hii sayari kitambo.

Mbili: Kama Mungu hayupo, kwanini unatokwa na mipovu kwa kitu ambacho hakipo.

I need some impeccable watertight exhibits which are verifiable. Sina muda na bla bla blah na assumptions zako za tokea wakati ule unatumia jina la pundit then blu ray et al
 
Kwahiyo Sayansi inapo sema kuwa C aligundua Jamaica ni UONGO? bali yeye ndie alikuwa mshamba wa kwanza wa kizungu kuiona Jamaica? Sasa cha ajabu ni kipi sayansi ilipo bahatika kuona hiyo sayari ambayo ilikuwa karne na karne?

Mimi ningefurai kama sayansi ingeweza zuia kimbunga na matetemeko ya ardhi na kuongeza umri wa maisha ya watu. Ndioo maana kwenye post yangu ya kwanza nilikujibu kuwa, hakuna kipya kwenye hii mada.

1) nadhani unachanganya science na historia , history ndio inaleta habari za columbus .. lets talk about sayari.. evolution, maabara.. hiyo ndiyo science

2) kuhusu kimbuga , matetemeko.. vikitokea si vinaharibu hadi nyumba zenu za ibada..?! inakuwaje huyu mungu akaleta gharika kuteketeza nyumba anazoabudiwa..??? watu wa dini hamna jibu hapo... but science inaweza ku explain what & how does it happen mpaka kunatokea tetemeko.. na vimbunga...
 
Hivi lini utajifunza kujibu maswali weye?

Hivi mbona Mungu anakupa ugonjwa wa MOYO? Kama hayupo, kwanini watokwa na POVU na kutumia NGUVU zako kuzungumzia kitu ambacho hakipo? HIVI ZIPO KAMILI WEYE?

KWANINI UTUMIE NGUVU ZAKO ZOTE NA KUTOKWA POVU KUZUNGUMZIA MUNGU AMBAYE HAYUPO? JIBU SWALI BANA, NINI BANA WEYE VEWE.

I don't care what you asked God to do to you. I don't give a sh,,,t.

Swali langu bado lipo pale pale, vipi wazungumzia kitu ambacho hakipo?

Psalm 14 [SUP]1[/SUP]The fool hath said in his heart, There is no God. They are corrupt, they have done abominable works, there is none that doeth good.

Na mimi naweza kukuuliza, kama mungu yupo mbona unatoka povu kumpigania? Si umwache ajionyeshe mwenyewe?

Narudia maswala ambayo huja ya address.

Mimi niko hapa kupinga ignorance, na belief in a god is part of that ignorance. We must fight ignorance with all might.

Ukiangalia signature yangu utajua nasimamia wapi kwenye swala zima la supernatural beliefs, sio tu mungu.

Naweza kusema hata umasikini wetu Tanzania unaendana na imani hizi za supernatural, kama za mungu.

Wachimba madini huko Mererani wanakufa, rais anasema kirahisi tu "Hii ni kazi ya mungu" bila kuangalia suala zima la usalama katika process ya uchimbaji wa madini.

Nchi haina umeme, rais basically anasema yeye si mungu na hana uwezo wa kunyesha mvua.

Kwa hiyo utaona jamii inayoamini mungu inamtumia mungu kukwepa responsibility yake, umasikini unakuwa explained kama "kazi ya mungu" na utajiri kama "bahati" na "kazi ya mungu pia"

Kuna mtu katuambia hapa mafanikio yake yanatokana na zaka.

Ni ujinga kama huu unaotokana na imani ya mungu ndio unaoniuma zaidi kuliko imani yenyewe tu.
 
1) nadhani unachanganya science na historia , history ndio inaleta habari za columbus .. lets talk about sayari.. evolution, maabara.. hiyo ndiyo science

2) kuhusu kimbuga , matetemeko.. vikitokea si vinaharibu hadi nyumba zenu za ibada..?! inakuwaje huyu mungu akaleta gharika kuteketeza nyumba anazoabudiwa..??? watu wa dini hamna jibu hapo... but science inaweza ku explain what & how does it happen mpaka kunatokea tetemeko.. na vimbunga...

Nani kwambia dini imeshindwa kujibu? Umetumia nini mpaka ukafikia conclusion yako kuwa watu wa dini hamna jibu hapo?

Sasa, kwanini sayansi inashindwa zuia vimbunga, tetemeko za ardhi? Science ku-explain jinsi gani inatokea!!!, does it help? Hivi baada ya jukuwa jinsi gani hizi mambo zinatokea, zilisaidia vipi Japan na Haiti?
 
Na mimi naweza kukuuliza, kama mungu yupo mbona unatoka povu kumpigania? Si umwache ajionyeshe mwenyewe?

Narudia maswala ambayo huja ya address.

Hah ah a ha ha ha ha ha, anakopia maswali yangu. Ha ha ha ha ha, weye hata kutunga swali lako inakushinda sasa unakopia, khaaaa,

Weye kwanini unatokwa na povu na kupandwa jazba kuhusu Mungu ambaye hayupo? Usifikiri unaweza pindisha maswali yangu bana.

Ha ha ha, pundit, blu ray, ET AL, vipi wazungumzia kitu ambacho hakipo? I just want to know why spending your quality time, UNAZUNGUMZIA MUNGU AMBAYE HAYUPO? ZIPO KAMILI WEYE?
 
Unalazimisha majibu, ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha

Moja: Kanini sayansi yako ilishindwa kugundua hii sayari kitambo.

Mbili: Kama Mungu hayupo, kwanini unatokwa na mipovu kwa kitu ambacho hakipo.

I need some impeccable watertight exhibits which are verifiable. Sina muda na bla bla blah na assumptions zako za tokea wakati ule unatumia jina la pundit then blu ray et al

Hujui kusoma, kama ungejua kusoma ungeshaona umejibiwa kwa kina.

Sayansi ilishindwa kugundua hii sayari mapema kwa sababu science is a gradual process, it does not claim to know all, it builds it's body of knowledge step by step. You have not addressed this answer.

Nakemea ignorance hii ya kuamini kwamba mungu yupo kama nitakavyokemea mjinga atakayekuja kutuambia dawa ya ukimwi ipo na hivyo tuendelee kujamiiana bila protection. Ingawa dawa hii haipo, effects za watu kuamini kwamba ipo zitakuwa deadly.

Same applies to the god idea.

But I bet you will never address any of these retorts.
 
Munamuita anajua kila kitu kilichopita nakinachokuja.Alikua wapi siku zote na kukaa kimya kwamba kuna uwezekano wa pacha wa dunia?Kila kukicha ndio tunavyogundua kwamba God is useless!!!....
HAa! so if anything new is discovered then God is useless, eeh!?
 
Nani kwambia dini imeshindwa kujibu? Umetumia nini mpaka ukafikia conclusion yako kuwa watu wa dini hamna jibu hapo?

Sasa, kwanini sayansi inashindwa zuia vimbunga, tetemeko za ardhi? Science ku-explain jinsi gani inatokea!!!, does it help? Hivi baada ya jukuwa jinsi gani hizi mambo zinatokea, zilisaidia vipi Japan na Haiti?


1) Ni jibu basi.. kwa nini nyumba za ibada zina haribiwa na matetemeko ..? ambayo kama mnavyodai ni mungu ndiye anayeyaleta

2) katika science tunaziita NATURAL DISASTERS ... !!! they just happen ! but we can only explain how & what to do when ikitokea ili kujihifadhi hence they are NATURAL!...

naomba unijibu kipengele cha kwanza ..?! maana toka ujiunge hapa kwenye hii thread unauliza maswali wewe tu! ..? ya kwetu hutaki kujibu
 
Hujui kusoma, kama ungejua kusoma ungeshaona umejibiwa kwa kina.

Sayansi ilishindwa kugundua hii sayari mapema kwa sababu science is a gradual process, it does not claim to know all, it builds it's body of knowledge step by step. You have not addressed this answer.

Nakemea ignorance hii ya kuamini kwamba mungu yupo kama nitakavyokemea mjinga atakayekuja kutuambia dawa ya ukimwi ipo na hivyo tuendelee kujamiiana bila protection. Ingawa dawa hii haipo, effects za watu kuamini kwamba ipo zitakuwa deadly.

Same applies to the god idea.

But I bet you will never address any of these retorts.

Unarudia yale yale ya ki-pundit na blu ray, yale yale yaliyo kushinda.

JIBU SWALI, KWANINI UNATUMIA NGUVU ZAKO ZOTE NA KUTOKWA NA POVU, KUZUNGUMZIA MUNGU AMBAYE HAYUPO? JIBU SWALI BANA.
 
1) Ni jibu basi.. kwa nini nyumba za ibada zina haribiwa na matetemeko ..? ambayo kama mnavyodai ni mungu ndiye anayeyaleta

2) katika science tunaziita NATURAL DISASTERS ... !!! they just happen ! but we can only explain how & what to do when ikitokea ili kujihifadhi

naomba unijibu swali langu la kwanza ..?! maana toka ujiunge hapa unauliza maswali wewe tu! ..? ya kwetu hutaki kujibu

Kwasababu Biblia inasema kuna matetemeko na matetemeko yanaharibu nyumba, na mengineyo.
 
Nani kwambia dini imeshindwa kujibu? Umetumia nini mpaka ukafikia conclusion yako kuwa watu wa dini hamna jibu hapo?

Sasa, kwanini sayansi inashindwa zuia vimbunga, tetemeko za ardhi? Science ku-explain jinsi gani inatokea!!!, does it help? Hivi baada ya jukuwa jinsi gani hizi mambo zinatokea, zilisaidia vipi Japan na Haiti?

Science does not claim the title of almighty, it is mortal and incomplete, a work in progress.

A more appropriate question would be, why an all knowing, all powerful, all loving god fail to stop these same earthquakes ?
 
Science does not claim the title of almighty, it is mortal and incomplete, a work in progress.

A more appropriate question would be, why an all knowing, all powerful, all loving god fail to stop these same earthquakes ?

I don't care kama sayansi inakubali au la. Swali, kwanini unazungumzia kiti ambacho hakipo?
 
Unarudia yale yale ya ki-pundit na blu ray, yale yale yaliyo kushinda.

JIBU SWALI, KWANINI UNATUMIA NGUVU ZAKO ZOTE NA KUTOKWA NA POVU, KUZUNGUMZIA MUNGU AMBAYE HAYUPO? JIBU SWALI BANA.

I was right.

But I bet you will never address any of these retorts.

Hivi hujui kusoma au ubishi tu?

Nimekwambia idea ya kuwapo kwa mungu ni mbaya kama idea ya kuwapo kwa dawa ya UKIMWI.

Vyote viwili havipo, lakini kuamini kwamba vipo kunaweza kuua watu.

Mtu anayeamini kuwapo kwa mungu, anaweza kuacha kufanya kazi anayotakiwa kufanya na kuishia kuomba mungu tu.

Mtu anayeamini kwamba Babu wa Loliondo ana dawa ya Ukimwi, anaweza kufanya ngono bila mpira na kuambukizwa UKIMWI.

Katika cases zote mbili, ingawa kitu kinchopingwa hakipo, imani katika kitu hiki inaweza kuleta maafa.

Najua huwezi kujibu hoja, utaleta ubishi. Jibu hoja hiyo hapo juu.

Imani katika kitu ambacho hakipo inaweza kuleta maafa, na kwa hiyo, inaweza kuwa lazima kwa wachunguzi kukemea imani katika kitu ambacho hakipo.
 
Mmmh! hapa leo patachimbika na jibu halitapatikana ng'o!
Ila hongera sana mkuu Kiranga kwa uwezo wako wa kujibu hoja kwa mapana bila hasira.
Ninauhakika hata ukivamiwa hapa na wachungaji wote wa makanisa ya kilokole utawatoa nok out.
By theway naamini mungu yupo....ila ukweli usiopingika kuwa hizi dini zote tumeletewa na watu weupe. Full stop
 
I don't care kama sayansi inakubali au la. Swali, kwanini unazungumzia kiti ambacho hakipo?

Namuonya huyu anayetaka kukaa katika kiti ambacho hakipo, kwamba ataanguka.

Hujajibu swali langu bado

A more appropriate question would be, why an all knowing, all powerful, all loving god fail to stop these same earthquakes ?
 
I was right.



Hivi hujui kusoma au ubishi tu?

Nimekwambia idea ya kuwapo kwa mungu ni mbaya kama idea ya kuwapo kwa dawa ya UKIMWI.

Vyote viwili havipo, lakini kuamini kwamba vipo kunaweza kuua watu.

Mtu anayeamini kuwapo kwa mungu, anaweza kuacha kufanya kazi anayotakiwa kufanya na kuishia kuomba mungu tu.

Mtu anayeamini kwamba Babu wa Loliondo ana dawa ya Ukimwi, anaweza kufanya ngono bila mpira na kuambukizwa UKIMWI.

Katika cases zote mbili, ingawa kitu kinchopingwa hakipo, imani katika kitu hiki inaweza kuleta maafa.

Yale yale ya assumptions.

Hivi weye unaishi na assumptions tuuuu. I told you that I don't give a sh... na vi assumtions vyako ambayo sio watertight, havina exhibit ambazo ni verifiable. Pumba tupu.

Sasa jibu swali langu. KWANINI UNATUMIA NGUVU NA KUTOKWA POVU KUZUNGUMZIA MUNGU AMBAYE HAYUPO? JIBU SWALI BANA.
 
Back
Top Bottom