Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,282
- 105,485
Mungu yupo na ataendelea kuwepo siku zote, kama shetani apendaye yeye awepo mawazoni mwa wanadamu naye huwapa uwezo watu vipofu kuona kama Mungu hayupo. Vifo vinavyotokea ni kwa kuwa hatuja amini kama yeye huweza kuokoa, na hata vivyo hivyo, maisha baada ya kifo ni sayari gani? uliza mwanasayasi alivumbua sayari kama yeye anayo roho ya ziada. Hakuna maradhi yasio tibika, ila kama shetani anataka utawala, hufanya hivyo kupata akili za wanadamu dhaifu. Pia kwa nyongeza magonjwa ni biashara ya nchi za magharibi kutoka kwa freemasons ili waweze kushika uchumi wa dunia. MUNGU YUPO!! NO MATTER WHAT SCIENCE INVENTS ARE!!!
Umeulizwa hapo juu, hata vile vitoto vichanga vinavyokufa na miezi kadhaa navyo vinakufa kwa sababu anataka viamini na haviamini?