Sayansi yafanya mambo yake tena!!! Mungu yuko wapi?

Kwa nini kuwe na vishawishi to begin with?

Kwa nini mzazi (mungu) umuwekee mtoto wako mchanga (binadamu dhaifu) sumu (mabaya) na maziwa (mema) achague wakati unaweza kumuwekea maziwa (mazuri) tu?

kwa nini mungu karuhusu ubaya uwezekane?

Kwa nini unasema huo mfano sio sawa?

Bogus questions.
 
Hakuna cha maana hapa.

Kwanini sayansi lishindwa kugundua kuwepo kwa hii sayari miaka kibao iliyo pita? Weye ndo wale wanao sema Christopher Columbus ndie aliye discover Jamaica wakati Jamaika ilikuwa teyari ina watu.

ASTAKAFULAH.

tafadhali jibu maswali ya kiranga! kwanza hata kama ni bogus .. kabla hujajibiwa yako..
 
tafadhali jibu maswali ya kiranga! kwanza .. kabla hujajibiwa yako..

Kwanini sayansi ilishindwa kugundua hiyo sayari muda kitambo. Nafikiri hili ni swali la msingi, kabla ya kukurupuka kwenu.
 
Why has God's existence created so many problems for philosophers?

Because it is a contradiction.

On the one hand god has unparalleled love and power.

On the other, he created a universe with evil.

On the one hand he is supposed to know all our lives even before we are born, in essence predestining our existence.

On the other, we are supposed to be responsible for our action.

Contradictions left right and center.
 
Maswali wanayo yakimbia

Kwanini sayansi lishindwa kugundua kuwepo kwa hii sayari miaka kibao iliyo pita? Weye ndo wale wanao sema Christopher Columbus ndie aliye discover Jamaica wakati Jamaika ilikuwa teyari ina watu.
 
Because it is a contradiction.

On the one hand god has unparalleled love and power.

On the other, he created a universe with evil.

On the one hand he is supposed to know all our lives even before we are born, in essence predestining our existence.

On the other, we are supposed to be responsible for our action.

Contradictions left right and center.

Ndio maana nikakwambia weye pundit/blu ray, maswali yako ni bogus. Ona utumbo ulio weka hapa.

Yaaack.

Can you tell me, where is the center?

Haya usikimbie
 
sometimes mimi namchukulia mungu ni kama imaginary friend ! created by ( we ) humans ...

That doesn't stop anything. umesha sema weye unachukua Mungu kama imaginary. Do you see the problem here?
 
Kwanini sayansi ilishindwa kugundua hiyo sayari muda kitambo. Nafikiri hili ni swali la msingi, kabla ya kukurupuka kwenu.

Kwa sababu sayansi inajenga knowledge base yake step by step. Sayansi haijidai kujua kila kitu, inajenga knowledge base yake step by step.

On the other hand, dini inajidai kuwa mungu anajua kila kitu, wakati agano la kale - kitabu cha mungu supposedly- kinatupa picha ya jua linalozunguka dunia.

Hivi mungu hakujua kwamba jua halizunguki dunia bali dunia ndiyo inayozunguka dunia?
 
Maswali wanayo yakimbia

Kwanini sayansi lishindwa kugundua kuwepo kwa hii sayari miaka kibao iliyo pita? Weye ndo wale wanao sema Christopher Columbus ndie aliye discover Jamaica wakati Jamaika ilikuwa teyari ina watu.
 
Kwanini sayansi ilishindwa kugundua hiyo sayari muda kitambo. Nafikiri hili ni swali la msingi, kabla ya kukurupuka kwenu.

sasa mkuu swali lako ni bogus .. sababu science always kunakuwa na a lot of room for new knowledge .. mfano kesho science igundue kuna sayari maili kadhaa chini ardhi utahoji kwa nini hawakundua miaka iliyopita
 
Kwa sababu sayansi inajenga knowledge base yake step by step. Sayansi haijidai kujua kila kitu, inajenga knowledge base yake step by step.

On the other hand, dini inajidai kuwa mungu anajua kila kitu, wakati agano la kale - kitabu cha mungu supposedly- kinatupa picha ya jua linalozunguka dunia.

Hivi mungu hakujua kwamba jua halizunguki dunia bali dunia ndiyo inayozunguka dunia?

Poor reply. Try again
 
sasa mkuu swali lako ni bogus .. sababu science always kunakuwa na a lot of room for new knowledge .. mfano kesho science igundue kuna sayari maili kadhaa chini ardhi utahoji kwa nini hawakundua miaka iliyopita

How bogus is my question?
 
Kama mungu yupo, ana nguvu zote, upendo wote na uwezo wote, kwa nini kaachia watoto maskini wa KiHaiti wafe en masse huko Haiti kwenye tetemeko la ardhi?

Ina maana hakuwa na uwezo wa kuwaokoa, la hasha, tushasema ana uwezo wote.

Ina maana hakupenda tu kuwaokoa, la hasha, tushasema ana upendo wote.

Sasa kwa nini hakuwaokoa basi?

Hakuwaokoa kwa sababu mungu huyu hayupo, ni character wa kutungwa kama katika hadithi za kufikirika.

Mimi binadamu ambaye sijafikia hekima yote na upendo wote nishajua kwamba nikiwa na uwezo wa kuwaokoa watoto wasio hatia nitawaokoa, seuze mungu mwenye upendo wote na uwezo wote?
Mkuu kiranga toka jana nilikuona kwenye topic ya rafiki yangu VOR iliyokuwa inaongelea kifo na mungu, kwenye maelezo yako ya leo hapa ha
yana tofauti na ya jana. Hivi kwa nini unasema na kuamini kuwa mungu hayupo? Na kama hayupo sisi binadamu tumetokana na nini?
Nijibu kwa faida ya wote
 
Back
Top Bottom