Sayansi yafanya mambo yake tena!!! Mungu yuko wapi?

Kwa nini mungu mwenye upendo wote na uwezo wote aruhusu shetani mwenye vishawishi awepo in the first place?
Hahaaaaaa! Simple, ni kwa sababu ya mapenzi yake! Ni sawa na wewe mwenye upendo wote unawachapa watoto wako kwa fimbo wanapokosea!
 
mimi baada ya kuona hii title nimeumia kutoka mambo ya kusoma kwenye jiografia yatakuwa mengi ni hilo tu na sio uonaji wao..
 
Kwa nini mungu mwenye upendo wote na uwezo wote aruhusu shetani mwenye vishawishi awepo in the first place?
we jamaa,narudia tena,amemuacha ili wewe mwenyewe uamue,lakini hajakuacha hivi hivi,kwa kufa kwa yesu pale msalabani,umepewa uwezo wa kuongea na mungu,na kutubu,na kumrudia mungu,zamani ungelazimika kutoa kafara ili usamehewe,hii ni kwa imani yetu wakristo,sio lazima na wewe uamini hivo
 
we jamaa,narudia tena,amemuacha ili wewe mwenyewe uamue,lakini hajakuacha hivi hivi,kwa kufa kwa yesu pale msalabani,umepewa uwezo wa kuongea na mungu,na kutubu,na kumrudia mungu,zamani ungelazimika kutoa kafara ili usamehewe,hii ni kwa imani yetu wakristo,sio lazima na wewe uamini hivo

Kwa nini mungu awawekee watu wake kishawishi?

Wewe unaweza kumuachia mtoto wako mchanga acheze na chupa ya sumu na ya maziwa ili tu "umuache yeye mwenyewe aaamue" ?

Utakuwa mzazi mwenye mapenzi kweli ? Wengine si watakuita muuaji tu?

Sasa mungu huyu ana tofauti gani na huyu muuaji?
 
Hahaaaaaa! Simple, ni kwa sababu ya mapenzi yake! Ni sawa na wewe mwenye upendo wote unawachapa watoto wako kwa fimbo wanapokosea!

Kwa kusema mungu karuhusu shetani na mabaya yote yawepo duniani kwa sababu ya "mapenzi yake" ni kusema kwamba mungu hawapendi sana binadamu.

Kwa sababu kama angewapenda sana binadamu angeumba ulimwengu ambao shetani na mabaya yote hayawezekaniki.

Mfano wako wa binadamu na discipline hau apply kwa sababu binadamu ana mipaka katika njia zake za kufunza ili mtoto asipatwe na mabaya, hiyo ya kuchapa inaweza kuwa moja, ingawa iko outdated sasa.

Lakini mungu hana limitation. Angeweza kuumba ulimwengu usiohitaji disciplining kwa sababu hauwezekaniki kufanyika mabaya, lakini hakuumba.

Ni kama unasema wewe ni baba ambaye una uwezo wa kufanya ulimwengu wa mtoto wako usiwezekanike kusema uongo, halafu unaachia uongo uwezekanike kwa mapenzi yako, halafu mtoto wako akisema uongo unamchapa. Kweli utasema unampenda mtoto na kumchapa huko ni discipline? Kwa nini umeachia uongo uwezekanike kama ulikuwa na uwezo wa kuzuia usiwezekanike?

Mungu mwenye uwezo wote na upendo wote asingeruhusu maovu kwa viumbe vyake.

Ulimwengu wetu una maovu.

Therefore mungu huyu either hana uwezo wote or hana upendo wote.

Alternatively, idea nzima ya mungu ni fiction.
 
Kwa nini mungu awawekee watu wake kishawishi? Wewe unaweza kumuachia mtoto wako mchanga acheze na chupa ya sumu na ya maziwa ili tu "umuache yeye mwenyewe aaamue" ? Utakuwa mzazi mwenye mapenzi kweli ? Wengine si watakuita muuaji tu? Sasa mungu huyu ana tofauti gani na huyu muuaji?
huo mfano si sawa,umepewa uwezo wa kuepuka hivi vishawishi kama ukimpokea yesu,na hata ukikosea mungu ni mwenye upendo,atapenda umrudiee na uombe msamaha
 
huo mfano si sawa,umepewa uwezo wa kuepuka hivi vishawishi kama ukimpokea yesu,na hata ukikosea mungu ni mwenye upendo,atapenda umrudiee na uombe msamaha

Kwa nini kuwe na vishawishi to begin with?

Kwa nini mzazi (mungu) umuwekee mtoto wako mchanga (binadamu dhaifu) sumu (mabaya) na maziwa (mema) achague wakati unaweza kumuwekea maziwa (mazuri) tu?

kwa nini mungu karuhusu ubaya uwezekane?

Kwa nini unasema huo mfano sio sawa?
 
Kama mungu yupo, ana nguvu zote, upendo wote na uwezo wote, kwa nini kaachia watoto maskini wa KiHaiti wafe en masse huko Haiti kwenye tetemeko la ardhi?

Ina maana hakuwa na uwezo wa kuwaokoa, la hasha, tushasema ana uwezo wote.

Ina maana hakupenda tu kuwaokoa, la hasha, tushasema ana upendo wote.

Sasa kwa nini hakuwaokoa basi?

Hakuwaokoa kwa sababu mungu huyu hayupo, ni character wa kutungwa kama katika hadithi za kufikirika.

Mimi binadamu ambaye sijafikia hekima yote na upendo wote nishajua kwamba nikiwa na uwezo wa kuwaokoa watoto wasio hatia nitawaokoa, seuze mungu mwenye upendo wote na uwezo wote?

Hapo unafanya marudio tu! Maswali kama hayo yalishaulizwa na wanafalsafa wengi tu miaka nenda rudi! Nikuulize swali: Je, mtu akishindwa kujibu maswali yako ndiyo kusema Mungu hayupo na akijibu ndiyo kusema anakuwepo? I.e. Is knoweldge of a person about God what dtermines what God is and can do?
 
Hapo unafanya marudio tu! Maswali kama hayo yalishaulizwa na wanafalsafa wengi tu miaka nenda rudi! Nikuulize swali: Je, mtu akishindwa kujibu maswali yako ndiyo kusema Mungu hayupo na akijibu ndiyo kusema anakuwepo? I.e. Is knoweldge of a person about God what dtermines what God is and can do?

Indeed haya yote hakuna jipya na ukisoma classical arguments za theology kina Anselm na Augustine wame struggle kujibu haya unsatisfactory, ndiyo maana yapo mpaka leo.

Swala si kwamba swali ni jipya au la zamani, kuna mi Poincare's Conjecture watu wame struggle nayo kwa miaka mia, lakini hawakuacha kutafuta majibu kwa sababu maswali ni ya zamani.Kwa sababu hawakupata majibu, wakaendelea kutafuta mpaka hapa juzi tu in the 2000s.

Kwa hiyo maswali kuwa mapya au ya zamani si hoja, hoja ni, je yamejibiwa kikamilifu?

Kushindwa kujibu maswali rahisi tu ya kibinadamu kunaonyesha zaidi kwamba hii idea nzima ya mungu haiyumkiniki. Kama binadamu wenye akili zenye kifani wanaweza kukwaza idea nzima ya mungu asiye kifani kwa maswali madogo tu ya upeo wa kibinadamu, then swala zima la mungu mwenye uwezo wote na upendo wote linakosa msingi mzuri wa kuaminika.

Kutoweza kujibu hakuonyeshi kwamba mungu hayupo, lakini hakusaidii lolote kuonyesha watu zaidi kwamba mungu yupo. Kwa kweli kunaongeza shaka kama mungu yupo na kuongeza kusadikika kwa wazo la kwamba mungu hayupo.

Mimi naangalia hili swala la kuwapo kwa mungu kama kuangalia hesabu ya square root ya namba. Ingawa naweza kuwa sijui jibu kamili la square root ya 8, lakini kwa sababu najua square root ya 9 (3) na square root ya 4 (2) basi ukiniambia square root ya 8 ni kubwa kuliko 3 au ni ndogo kuliko 2 sitakubali, hata bila ya kuijua square root kamili ya 8, kwa sababu najua square root ya 8 iko kati ya 2 na tatu kama vile 8 ilivyo kati ya 4 na 9.

Kwa hiyo kuna maswali mengine unaweza kuona kwamba ingawa huna jibu kamili, lakini jibu hili nililopewa lina converge kwenda kwenye jibu kamili, au lina diverge kutoka kwenye jibu kamili.

Na hii habari ya watu kushindwa kutoa majibu kamili kwa haya maswali inaonyesha kwamba ukweli una diverge kutoka kwa jibu la kuwepo kwa mungu mwenye uwezo wote na upendo wote, bila hata mtu kuwa na uwezo wa kiungu kujua hilo.
 
Indeed haya yote hakuna jipya na ukisoma classical arguments za theology kina Anselm na Augustine wame struggle kujibu haya unsatisfactory, ndiyo maana yapo mpaka leo. Kushindwa kujibu maswali rahisi tu ya kibinadamu kunaonyesha zaidi kwamba hii idea nzima ya mungu haiyumkiniki. Kama binadamu wenye akili zenye kifani wanaweza kukwaza idea nzima ya mungu asiye kifani kwa maswali madogo tu ya upeo wa kibinadamu, then swala zima la mungu mwenye uwezo wote na upendo wote linakosa msingi mzuri wa kuaminika. Kutoweza kujibu hakuonyeshi kwamba mungu hayupo, lakini hakusaidii lolote kuonyesha watu zaidi kwamba mungu yupo. Kwa kweli kunaongeza shaka kama mungu yupo na kuongeza kusadikika kwa wazo la kwamba mungu hayupo.
it is simple,mungu aliruhusu tumjaribu kwa kutoa zaka,sasa wewe toa zaka then utaprove kama yupo,mie sina shaka yupo na amejibu maombi yangu mengi,na kila ninalomuomba huwa anajibu intime,hapa sihitaji kukulazimisha uamini,
 
Lakini mungu hana limitation. Angeweza kuumba ulimwengu usiohitaji disciplining kwa sababu hauwezekaniki kufanyika mabaya, lakini hakuumba.Mungu mwenye uwezo wote na upendo wote asingeruhusu maovu kwa viumbe vyake.

Ulimwengu wetu una maovu.

Therefore mungu huyu either hana uwezo wote or hana upendo wote.

In college I took a class called "The Literature of Old and New Testament". In the old testament we examined the book of Job. If you have read the book you would know what happened to Job.

In it, some of us concluded that maybe god is not all that he is cracked up to be for if he was, how can a just god explain the human condition, the prosperity of the wicked, and the suffering of the righteous?
 
In college I took a class called "The Literature of Old and New Testament". In the old testament we examined the book of Job. If you have read the book you would know what happened to Job.

In it, some of us concluded that maybe god is not all that he is cracked up to be for if he was, how can a just god explain the human condition, the prosperity of the wicked, and the suffering of the righteous?

I was just checking out some video lectures from Yale on this very class just yesterday (If you have access to Roku there is a Yale channel, I believe they are freely available otherwise online too).

What you are saying is the gist of my problem. Kwa nini mungu aruhusu maumivu na majaribu in the first place?

Is this god that much of a narcissist? Kwamba anaruhusu watu waumie ili tu waweze kumuabudu yeye?

Hii tabia kama angekuwa nayo binadamu si tungemlaani kwa majina yote?
 
i can have my own definition of GOD,ni obvious kuna 2 opposing sides,one is believed to be satan,the other one is god,ndio maana waganga wako tofauti na watu wa dini,wachawi na watu wa dini,
 
it is simple,mungu aliruhusu tumjaribu kwa kutoa zaka,sasa wewe toa zaka then utaprove kama yupo,mie sina shaka yupo na amejibu maombi yangu mengi,na kila ninalomuomba huwa anajibu intime,hapa sihitaji kukulazimisha uamini,

Na ukitoa zaka halafu mambo yasiwe fresh maana yake mungu hayupo? Au ndiyo mambo ya waganga wa kienyeji yata apply "hukufuata masharti"?
 
i can have my own definition of GOD,ni obvious kuna 2 opposing sides,one is believed to be satan,the other one is god,ndio maana waganga wako tofauti na watu wa dini,wachawi na watu wa dini,

Huwezi kuwa na supreme beings wawili, definition ya god ni supreme being muumba wa vyote, sasa kati ya hao wawili wako, nani kamuumba mwingine?
 
i love this thread .... watu wa mungu wanaishia ku quote hadithi toka kwenye vitabu vyao badala ya kuleta facts ... maswali ya kiranga ni mazuri sana... nasubiri majibu
 
sasa kwa imani yetu na vitabu vyetu,shetani au ibilisi alikua ni malaika ,lakini aliasi kwasababu n

a yeye alitaka awe kama mungu,so based na imani yetu,ni obvius mungu yupo.ukitaka facts naweza kukuelezea vitu nilivyoomba kwa mungu na vikawa kweli
 
Mnachofanya ni sawa na kutaka ku chota maji yote ya bahari na kutia kwenye kisima kidogo kilichopo ufukweni mwa bahari. Yatatosha?. Wanasayansi mnatuambia dunia vitu vilivyomo na ulimwengu(galaxies)kiujumla vilitokana na 'big bang' ambapo mawe makubwa yaligongana angani na yalisababisha kutokea jua,sayari na vitu vyote vilivyopo angani. Mpaka leo wanasayansi hao hawawezi kujibu mawe hayo makubwa yaliyogongana yaliumwa na nani na ulimwenguni kulikuwa na nini kabla ya hayo yote kuwepo!. Biblia na Quran zina majibu ya hayo yote!. Ndio maana mpaka leo sayansi haijajua dawa ya ukimwi lakini Mungu anakuambia dawa ni moja tu,heshimu amri zake na hasahasa acha zinaa. Akipenda siku atakuonyesha dawa ya kunywa au ya sindano kama anavyokuonyesha kidogo kidogo ulimwengu mwingine na vitu mbalimbali alivyoumba,nawe wajiona mwerevu kumbe hamna kitu kabisa!
 
Ha ha ha ha ha, mimi nilifikiri hiyo sayansi imetengeneza hiyo sayari. Kumbe mmegundua mambo ambayo yalikuwepo karne na karne ndo unasema sayansi yafanya mambo, weye ndo unasema una akiri.

Astakafulah. darwin, hivi bado unasumbuka na yele yale yaliyo kushinda? Khaaaa.

Lete ushaidi kwanini sayansi ilishindwa kugundua hii sayari kitambo kilicho pita, na sio blah blah zako bana.

KIPOFU KAONA MWEZI, HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA
 
i love this thread .... watu wa mungu wanaishia ku quote hadithi toka kwenye vitabu vyao badala ya kuleta facts ... maswali ya kiranga ni mazuri sana... nasubiri majibu

Hakuna cha maana hapa.

Kwanini sayansi lishindwa kugundua kuwepo kwa hii sayari miaka kibao iliyo pita? Weye ndo wale wanao sema Christopher Columbus ndie aliye discover Jamaica wakati Jamaika ilikuwa teyari ina watu.

ASTAKAFULAH.
 
Back
Top Bottom