Jaribu,uje utupe matokeo
tango tango😂😂😂Tatizo pesa si tango
Ukitafuta namba kwa juhudi utapatatatizo nimempenda mtu ambae hakuna namna nitaweza kuonana nae au kupata namba yake au kumfikia na aknisikiliza
Poor method , una mbinu za kitoto sana tena level ya viduduTafuta namba ya huyo unayetaka awe mpenzi wako, kwa kuulizia marafiki zake n.k
Andika meseji nzuri au tamu ya kuhusu kumlalamikia mpenzi wako ambaye ni 'fake', ili itakapomfikia huyo unayetaka awe mpenzi wako ajue meseji si ya kwake bali imeenda kimakosa. Tuma meseji nyingi za kuvutia za kuonyesha huyo mpenzi wako 'fake' anavyotesa moyo wako.
Iwapo huyo mpenzi mtarajiwa akijibu meseji kukuambia umekosea namba, we sema hujakosea namba na jitahidi kuthibitisha hiyo ni namba ya huyo uliyetaka kumtumia. Baada ya hapo, ni uwanja wako wewe wa kumuweka karibu na kuweka mazingira ya kufahamiana zaidi; pamoja na kulana kimasihara.
Ukitafuta namba kwa juhudi utapata
Hii inawafaa wanachuo kurudi nyumaPoor method , una mbinu za kitoto sana tena level ya vidudu
Exactly tuwaachie 17's , issue saiv pesa tu utawapata wa Kila rangiHii inawafaa wanachuo kurudi nyuma
Toka ndotoni we kilamba mwiko
Kweli kuna science of lovesijawahi onaKwa wakati huu labda uanze na text ya IMETHIBITISHWA.
NAIKUBALI HII KIMTINDO,ishawahi nipatia demu mtamu kisa tu alikosea meseji ya kwenda kwa bwana wake ikaja kwangu. baada ya kujirudia rudia sana kwa hizo meseji ikabidi nimuombe tuonane nione huo utamu anaolalamika ili hali jamaa yake hamthamini,basi nikanasa mtegoni kwake nikamla kama mara tano hivi.... SO,naamini hii mitandao siku hizi ukibugi tu,unaliwaTafuta namba ya huyo unayetaka awe mpenzi wako, kwa kuulizia marafiki zake n.k
Andika meseji nzuri au tamu ya kuhusu kumlalamikia mpenzi wako ambaye ni 'fake', ili itakapomfikia huyo unayetaka awe mpenzi wako ajue meseji si ya kwake bali imeenda kimakosa. Tuma meseji nyingi za kuvutia za kuonyesha huyo mpenzi wako 'fake' anavyotesa moyo wako.
Iwapo huyo mpenzi mtarajiwa akijibu meseji kukuambia umekosea namba, we sema hujakosea namba na jitahidi kuthibitisha hiyo ni namba ya huyo uliyetaka kumtumia. Baada ya hapo, ni uwanja wako wewe wa kumuweka karibu na kuweka mazingira ya kufahamiana zaidi; pamoja na kulana kimasihara.
Inawezekana yeye ndio alipanga iwe hivyo.NAIKUBALI HII KIMTINDO,ishawahi nipatia demu mtamu kisa tu alikosea meseji ya kwenda kwa bwana wake ikaja kwangu. baada ya kujirudia rudia sana kwa hizo meseji ikabidi nimuombe tuonane nione huo utamu anaolalamika ili hali jamaa yake hamthamini,basi nikanasa mtegoni kwake nikamla kama mara tano hivi.... SO,naamini hii mitandao siku hizi ukibugi tu,unaliwa