vaislay ilikua ni kitambo kidogo..si unajua tena humu jf..lakin yalishapita yale..natamani kujuaaaa!!
vaislay ilikua ni kitambo kidogo..si unajua tena humu jf..lakin yalishapita yale..natamani kujuaaaa!!
badiebey njoo tufarijiane....na mimi napita njia hio hio angalia
https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/656307-to-my-ex.html
Mimi mwezi uliopita nilipiga kibuti kwa staili hii..Limwanamke lenyewe omba ombaaaaaa..Eti nimetoka kwenye msiba linaomba hela...Liliishia kunisikia kwenye bomba.
Ila wewe kama kakuacha huna kosa kafanya vibaya ingawa nina mashaka sana.!
mi sio omba omba,napata shida sana kuomba mwanaume hela,..maybe kosa lipo but sijui nilipokosea,nimejitahidi kumuonyesha yaliyokuwa moyoni mwangu and i gave up other people for him
mi sio omba omba,napata shida sana kuomba mwanaume hela,..maybe kosa lipo but sijui nilipokosea,nimejitahidi kumuonyesha yaliyokuwa moyoni mwangu and i gave up other people for him