Sawa nenda, nitaudanganya moyo wangu utatulia

Sawa nenda, nitaudanganya moyo wangu utatulia

we nae.

That's the last thing she wants.

What she needs is not to be on the rebound, she needs to heal.

Learn from her previous relationship, wipe the dust and say hell yeah, it was good while it lasted.

nini tena, i love her ujue
 
i pray so,lakini em nishaurini tu,mliowapata mliotulia nao mlifanyaje,sipendi kukosea tena baada ya hapa

Don't try too hard to be perfect.

Rule no. ! in any relationship, Be Yourself.

If he doesn't love you for who you are then you are better off elsewhere.

Usidhani just two relationships will make you perfect.

You have a whole bunch of frogs to kiss before you get to the prince.

Take it easy, life is a lot more than spending it eyesore crying from ordeals caused by this silly creation called men.
 
Don't try too hard to be perfect.

Rule no. ! in any relationship, Be Yourself.

If he doesn't love you for who you are then you are better off elsewhere.

Usidhani just two relationships will make you perfect.

You have a whole bunch of frogs to kiss before you get to the prince.

Take it easy, life is a lot more than spending it eyesore crying from ordeals caused by this silly creation called men.

ahsante,nimekuelewa
 
Money Stunna, kwa nini umemuacha mwenzako?
Wadau wa JF za jioni,
nafikiri it's safe kusema kwamba kibuti ndo nishapigwa...japo cha kimya kimya,nimejiongeza kusoma alama za nyakati ,na ukizingatia mzigo ndo alishachukua mhh sina jipya tena mtoto wa watu....
Nishamuweka moyoni,i loved every moment,inaniuma sana alivojikata polepole mana text,simu hazijibiwi na watsap namuona ...kumfatilia mtu na msg siku nzima siwezi mwenzenu...
Napendwa na wengi ,ila ninakopenda sipendwi...
Maybe kuna sehemu nilikosea,najiuguza hapa kwenu wana JF nisahau maumivu,mana hata mabest zangu kuwaambia siwezi,watanicheka,ndugu watanishangaa,bora hapa siwajui hamnijui........
Eh Mungu nisaidie nije nipate mwingine,mana hapa siwezi tena mimi....ila naumia jamani dahh.,mana i took sometime,natamani tungeendelea ila kashakata kamba and he doesnt seem interested tena,
Ukipita niachie japo a comforting word,au ukijiskia kutukana si mbaya pia yote maisha.....
 
Last edited by a moderator:
When it comes to love...u wil never understand.....apo ni kumuomba tu mungu ukutane na aliekupangia mapema ila kibinadam utasaga soli sanaaa....utamaliza viatu pea kwa pea...

Pray so hard some day you meet the right person
 
Pole sana ila nakushauri usikurupuke kuziba pengo lake, take a time and control yourself, usige ukaangukia ktk mikono mibaya zaidi.
 
Wadau wa JF za jioni,
nafikiri it's safe kusema kwamba kibuti ndo nishapigwa...japo cha kimya kimya,nimejiongeza kusoma alama za nyakati ,na ukizingatia mzigo ndo alishachukua mhh sina jipya tena mtoto wa watu....
Nishamuweka moyoni,i loved every moment,inaniuma sana alivojikata polepole mana text,simu hazijibiwi na watsap namuona ...kumfatilia mtu na msg siku nzima siwezi mwenzenu...
Napendwa na wengi ,ila ninakopenda sipendwi...
Maybe kuna sehemu nilikosea,najiuguza hapa kwenu wana JF nisahau maumivu,mana hata mabest zangu kuwaambia siwezi,watanicheka,ndugu watanishangaa,bora hapa siwajui hamnijui........
Eh Mungu nisaidie nije nipate mwingine,mana hapa siwezi tena mimi....ila naumia jamani dahh.,mana i took sometime,natamani tungeendelea ila kashakata kamba and he doesnt seem interested tena,
Ukipita niachie japo a comforting word,au ukijiskia kutukana si mbaya pia yote maisha.....

Stop that foolishness grow up ulizaliwa peke ako utakufa peke yako kwann uteseke kwa ajili ya mtu mwingine?
 
pole sana mkuu...maisha ndo yalivyo....utapata mwingine na maisha yataenderea. wish u luck on your next relation
 
Lakini si ulisema unataka tu akugonge then asepe vipi tena mbona unalia au hakukugonga vizuri ulivyotaka?
 
sijui hadi lini mamii,natamani kusettle na partner wangu na mi nipange maisha

Usijali mamito... Jipe muda wala usiwe na papara, kama unafanya kazi jikeep busy na kazi, kama unasoma soma zaidi na kama unafanya biashara jikeep busy na biashara. Yaan hiki kipindi huwa ni kigumu sana ila amini kitapita na utaja jilaumu bure kwanini ulikuwa unalia na kusonokena kwa ajili ya mtu asiyejua thamani yako!!

Kamwe usimtafute, najua inauma ila jikaze usimtext wala kumpigia hakika utamsahau....

Zaidi sana muombe Mwenyezi Mungu akupe ujasiri make hata hiyo uliyokuwa ukifanya ni dhambi. Ingawa wote ni wadhambi... Je unalia na kusononeka kwa kuacha dhambi???
 
Pole sana mamii, wako yupo sehemu usiruhusu kamoyo kako kavunjike sababu ya huyo asiyejua thamani ya upendo wako. Maisha hayasimami, yanasonga mbele..na wewe unatakiwa usonge mbele mamii.
 
Pole sana ila nakushauri usikurupuke kuziba pengo lake, take a time and control yourself, usige ukaangukia ktk mikono mibaya zaidi.

i spent a eleven months and moved vizuri tu from my past,nikiwaza mwaka mwingine tena,sina hamuu
 
Lakini si ulisema unataka tu akugonge then asepe vipi tena mbona unalia au hakukugonga vizuri ulivyotaka?

hyo ishu ya zamani sana,nliandika tu bila tarehe
 
Vizuri Mungu ameumba "KUSAHAU" na maisha yataendelea..
Piga moyo konde... ww si wa kwanza wala wa mwisho
Tupa kulee
 
Pole sana mamii, wako yupo sehemu usiruhusu kamoyo kako kavunjike sababu ya huyo asiyejua thamani ya upendo wako. Maisha hayasimami, yanasonga mbele..na wewe unatakiwa usonge mbele mamii.

kusema kweli,sikuwaza kama ningemwaga tena chozi langu hata moja kwa ajili ya mwanaume...
Kamoyo kangu ndo nakaokota hivo niangalie mbele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom