Huu wimbo nikiufikiria huwa najikuta natoa machozi
sijui hadi lini mamii,natamani kusettle na partner wangu na mi nipange maisha
Tatizo anakuja lini na utamjuaje km ndie
Wanaumeeeee ni shida. Yani Hawana ufundi. Wapo wanawake wamejiingiza kwenye tabia za ulevi, uchangu, uplayer, Kuvuta sigara kisa kukabiliana na stress za wanaume. Pole mama ndio dunia na ndio ukubwa. Jaribu kuwasahau kwa mda. Fanya maendeleo yako. Kama unaweza kurudi shule fanya hivyo.
Nishawahi kupigwa buti kubwa haswa nikawa so stressed Hadi nikaamua kuhama nilipokuwa naishi. Bado ikawa haitoshi. Ikabidi nifikirie kuendelea na shule tena kwa kuhama nchi. Nilipoamua kurudi shule Ndio angalau nikawa sawa na kusahau kila kitu.
Nililia sijawahi kulia hivyo maishani mwangu. Hakuna maumivu makali km ya kuachwa.....Ila time heals
Pole sana ww co wa kwanza wala wa mwisho inauma sana kupoteza muda kumthamin mtu ambae unahis ndo faraja kumbe jambaz wa mapenz kwanza mshukuru mungu na usiumize sana huyo hakuwa andiko lako yupo mwenye nia ya kweli anakuja tulia sali yatakwisha.
Polee...sana..it will passam doing my best..ila sikujua it would hurt like this,na hata wa kumuambia personally sina
ahsanteeeee warumi,sijazoea kukuona huku ujue
Pole zako nyingi chezeya kupenda na kupendwa.
mh pole dia.
wanasemaga upendo wa kweli ndo hata hufutiki,kama wako wako tu,kama sio utapata wako,usijichoshe sweetie
am doing my best..ila sikujua it would hurt like this,na hata wa kumuambia personally sina