Sawa nenda, nitaudanganya moyo wangu utatulia

Sawa nenda, nitaudanganya moyo wangu utatulia

Pole sana,simama jipanguse vumbi na maisha yataendelea
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    23.7 KB · Views: 288
Natamani wanawake wote walioachwa waje kwangu niwa confort
 
Pole mamy.
Likuepukalo una heri nalo!!
 
Pole mamy.
Likuepukalo una heri nalo!!

ahsante dr,ila inaumiza sana,nlijua atlst ntatulia kdogo,nimespend almost mwaka sasa kutibu majeraha ya past rlship,nikiwaza mwaka mwingine uuh..
 
ahsante dr,ila inaumiza sana,nlijua atlst ntatulia kdogo,nimespend almost mwaka sasa kutibu majeraha ya past rlship,nikiwaza mwaka mwingine uuh..

Pole sana.
Utapata wako anayekustahili,utasahau kuwa ulishawahi kutendwa!!
 
Sikupigi madongo...ila kunasiku tumebishana sana..nkakwambia kwa mtazamo wako wa mambo inakua ngumu sana kwa mwanaume anaejitambua kukaa na wewe...ukabishaa na madongo juu..nikaishia kukwambia its ur life(i think utakumbuka)...any way imetokea jipange , usonge mbele mungu atakujalia..
 
Songa mbele kuna mwingine atatia timu, na utampenda zaidi ya huyo, hayo ndio maisha ya mapenzi, Mr Paul aliyalinganisha na kiti cha basi, akishuka mtu mwingine anakaa.

Lakini vile vile jiulize kwa nini ameondoka, ukipata jibu lifanyie kazi.


badiebey
 
Last edited by a moderator:
Sikupigi madongo...ila kunasiku tumebishana sana..nkakwambia kwa mtazamo wako wa mambo inakua ngumu sana kwa mwanaume anaejitambua kukaa na wewe...ukabishaa na madongo juu..nikaishia kukwambia its ur life(i think utakumbuka)...any way imetokea jipange , usonge mbele mungu atakujalia..

natamani kujuaaaa!!
 
Sikupigi madongo...ila kunasiku tumebishana sana..nkakwambia kwa mtazamo wako wa mambo inakua ngumu sana kwa mwanaume anaejitambua kukaa na wewe...ukabishaa na madongo juu..nikaishia kukwambia its ur life(i think utakumbuka)...any way imetokea jipange , usonge mbele mungu atakujalia..

nakumbuka,nishakuwa innocent nikaumizwa vile vile,..am trying a different life nako naona hali tete,sijui nilekee wapi,am so hopeless ryt now
 
Songa mbele kuna mwingine atatia timu, na utampenda zaidi ya huyo, hayo ndio maisha ya mapenzi, Mr Paul aliyalinganisha na kiti cha basi, akishuka mtu mwingine anakaa.

Lakini vile vile jiulize kwa nini ameondoka, ukipata jibu lifanyie kazi.


badiebey

i wish angesema sabau za kuondoka,ningejirekebisha...sijijui nakosea wapi
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom