Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,211
- 99,963
Duh haya pole sana.....atarudi tu
Ulipokuwa unaandika ulijisikia raha ukasahau kuwa maneno huumba na uliyoyasema yametimiahyo ishu ya zamani sana,nliandika tu bila tarehe
Usijali mamito... Jipe muda wala usiwe na papara, kama unafanya kazi jikeep busy na kazi, kama unasoma soma zaidi na kama unafanya biashara jikeep busy na biashara. Yaan hiki kipindi huwa ni kigumu sana ila amini kitapita na utaja jilaumu bure kwanini ulikuwa unalia na kusonokena kwa ajili ya mtu asiyejua thamani yako!!
Kamwe usimtafute, najua inauma ila jikaze usimtext wala kumpigia hakika utamsahau....
Zaidi sana muombe Mwenyezi Mungu akupe ujasiri make hata hiyo uliyokuwa ukifanya ni dhambi. Ingawa wote ni wadhambi... Je unalia na kusononeka kwa kuacha dhambi???
Poule shogaaa...piga moyo kondee..afu kumbuka shost angu so kila unaedate naye ni muoaji wenginee ni wasindikizaji wanakupa maexpriencee! Nyanyuka jikung'ute mavumbi na tembea mbele...
he said he wanted to settle and marry me...japo sikuonyesha desperation,from my heart nilifurahi nikaamini
Wadau wa JF za jioni,
nafikiri it's safe kusema kwamba kibuti ndo nishapigwa...japo cha kimya kimya,nimejiongeza kusoma alama za nyakati ,na ukizingatia mzigo ndo alishachukua mhh sina jipya tena mtoto wa watu....
Nishamuweka moyoni,i loved every moment,inaniuma sana alivojikata polepole mana text,simu hazijibiwi na watsap namuona ...kumfatilia mtu na msg siku nzima siwezi mwenzenu...
Napendwa na wengi ,ila ninakopenda sipendwi...
Maybe kuna sehemu nilikosea,najiuguza hapa kwenu wana JF nisahau maumivu,mana hata mabest zangu kuwaambia siwezi,watanicheka,ndugu watanishangaa,bora hapa siwajui hamnijui........
Eh Mungu nisaidie nije nipate mwingine,mana hapa siwezi tena mimi....ila naumia jamani dahh.,mana i took sometime,natamani tungeendelea ila kashakata kamba and he doesnt seem interested tena,
Ukipita niachie japo a comforting word,au ukijiskia kutukana si mbaya pia yote maisha.....
Pole sana...i feal for u..hapo sasa ni kutulia, weka mipango ya maisha yako, muombe mungu, jipende na kujitunza ...utakutana na mwanaume wa ukweli kabisa anayethamini na kujua maisha..wapo lkn wamejificha kidogo..nakumbuka,nishakuwa innocent nikaumizwa vile vile,..am trying a different life nako naona hali tete,sijui nilekee wapi,am so hopeless ryt now
badiebey njoo tufarijiane....na mimi napita njia hio hio angaliaWadau wa JF za jioni,
nafikiri it's safe kusema kwamba kibuti ndo nishapigwa...japo cha kimya kimya,nimejiongeza kusoma alama za nyakati ,na ukizingatia mzigo ndo alishachukua mhh sina jipya tena mtoto wa watu....
Nishamuweka moyoni,i loved every moment,inaniuma sana alivojikata polepole mana text,simu hazijibiwi na watsap namuona ...kumfatilia mtu na msg siku nzima siwezi mwenzenu...
Napendwa na wengi ,ila ninakopenda sipendwi...
Maybe kuna sehemu nilikosea,najiuguza hapa kwenu wana JF nisahau maumivu,mana hata mabest zangu kuwaambia siwezi,watanicheka,ndugu watanishangaa,bora hapa siwajui hamnijui........
Eh Mungu nisaidie nije nipate mwingine,mana hapa siwezi tena mimi....ila naumia jamani dahh.,mana i took sometime,natamani tungeendelea ila kashakata kamba and he doesnt seem interested tena,
Ukipita niachie japo a comforting word,au ukijiskia kutukana si mbaya pia yote maisha.....
nakumbuka,nishakuwa innocent nikaumizwa vile vile,..am trying a different life nako naona hali tete,sijui nilekee wapi,am so hopeless ryt now
am here,i need ur comfort,nna stress kila sehemu ya mwili wangu
Kuna umri mtu akifika hasa kwa nyie akinadada mnatakiwa mtambue muoaji na mtu anayetaka utamu na kusepa...ila sasa nashangaa wengi mnashindwaga kun'gamua..na kwa sisi wanaume tunajua wakati mwingine hamwezi kutofautisha ndo maana ndo gia yetu kubwa(wengine tunaongeza na manjonjo mengine)..ila km msichana akiwa makini mbona waowaji hujulikana kabisa..Haaaa wee hujui ndo gia ya Siku hizii wanaume wakitaka papuchii?be very careful tena mie wakijaga name gia za kuoa huwaga nawadesh
Kuna umri mtu akifika hasa kwa nyie akinadada mnatakiwa mtambue muoaji na mtu anayetaka utamu na kusepa...ila sasa nashangaa wengi mnashindwaga kun'gamua..na kwa sisi wanaume tunajua wakati mwingine hamwezi kutofautisha ndo maana ndo gia yetu kubwa(wengine tunaongeza na manjonjo mengine)..ila km msichana akiwa makini mbona waowaji hujulikana kabisa..