Sawa nenda, nitaudanganya moyo wangu utatulia

Sawa nenda, nitaudanganya moyo wangu utatulia

No Matter What Happens,Life Must Go On.TUNAISHI MARA MOJA PEKEE.Jipende zaidi
 
Polee sana...it his los..you are far better without him...somewhere someone is dying to be with you...stay strong
 
Wanaumeeeee ni shida. Yani Hawana ufundi. Wapo wanawake wamejiingiza kwenye tabia za ulevi, uchangu, uplayer, Kuvuta sigara kisa kukabiliana na stress za wanaume. Pole mama ndio dunia na ndio ukubwa. Jaribu kuwasahau kwa mda. Fanya maendeleo yako. Kama unaweza kurudi shule fanya hivyo.

Nishawahi kupigwa buti kubwa haswa nikawa so stressed Hadi nikaamua kuhama nilipokuwa naishi. Bado ikawa haitoshi. Ikabidi nifikirie kuendelea na shule tena kwa kuhama nchi. Nilipoamua kurudi shule Ndio angalau nikawa sawa na kusahau kila kitu.

Nililia sijawahi kulia hivyo maishani mwangu. Hakuna maumivu makali km ya kuachwa.....Ila time heals
 
Acha Kuhukumu
Nimehukumu wapi? amejihukumu mwenyewe mimi nafanya kumkumbusha maana binadamu tunasahau kuwa maneno huumba,aliyoyasema ndiyo yaliyotokea mimi nimehukumu wapi
 
Wadau wa JF za jioni,
nafikiri it's safe kusema kwamba kibuti ndo nishapigwa...japo cha kimya kimya,nimejiongeza kusoma alama za nyakati ,na ukizingatia mzigo ndo alishachukua mhh sina jipya tena mtoto wa watu....
Nishamuweka moyoni,i loved every moment,inaniuma sana alivojikata polepole mana text,simu hazijibiwi na watsap namuona ...kumfatilia mtu na msg siku nzima siwezi mwenzenu...
Napendwa na wengi ,ila ninakopenda sipendwi...
Maybe kuna sehemu nilikosea,najiuguza hapa kwenu wana JF nisahau maumivu,mana hata mabest zangu kuwaambia siwezi,watanicheka,ndugu watanishangaa,bora hapa siwajui hamnijui........
Eh Mungu nisaidie nije nipate mwingine,mana hapa siwezi tena mimi....ila naumia jamani dahh.,mana i took sometime,natamani tungeendelea ila kashakata kamba and he doesnt seem interested tena,
Ukipita niachie japo a comforting word,au ukijiskia kutukana si mbaya pia yote maisha.....

yeye sio chizi akuache bila sababu tuambie sababu nini kama ume cheat sema dont rush for sorry
 
Nimehukumu wapi? amejihukumu mwenyewe mimi nafanya kumkumbusha maana binadamu tunasahau kuwa maneno huumba,aliyoyasema ndiyo yaliyotokea mimi nimehukumu wapi

Kwa Kumkumbushia Umemsaidia Sasa,
Yani ni kama moyoni unamwambia ndo ukomeee,
Sio njia sahihi ya kumshauri mtu aliye kwenye maumivu,
Umegongelea Msumari Kwenye Kidonda.
 
"napata shida sana kuomba mwanaume hela"

Nimeipenda hiyo phrase hapo juu, bilashaka ww ni binti wa pekee sana ktk karne hii.

Pole mdogo/dada yangu badiebey...just let him go, kama u were meant to be together atarudi tu, but if u were not, haitakaa mrudiane.

Kama una nafasi week end ijayo u can join me, ntaenda Zanzibar ijumaa na kurudi jumapili, unaweza kuja na rfk yako yoyote wa kike nitawa-sponsor ila usiogope-no strings attached. Haka kasafari kanaweza kukusaidia usahau machungu.
ahsante kwa poleh,zanzibar pananitamanishaaa...
Will think about it
 
Last edited by a moderator:
Wadau wa JF za jioni,
nafikiri it's safe kusema kwamba kibuti ndo nishapigwa...japo cha kimya kimya,nimejiongeza kusoma alama za nyakati ,na ukizingatia mzigo ndo alishachukua mhh sina jipya tena mtoto wa watu....
Nishamuweka moyoni,i loved every moment,inaniuma sana alivojikata polepole mana text,simu hazijibiwi na watsap namuona ...kumfatilia mtu na msg siku nzima siwezi mwenzenu...
Napendwa na wengi ,ila ninakopenda sipendwi...
Maybe kuna sehemu nilikosea,najiuguza hapa kwenu wana JF nisahau maumivu,mana hata mabest zangu kuwaambia siwezi,watanicheka,ndugu watanishangaa,bora hapa siwajui hamnijui........
Eh Mungu nisaidie nije nipate mwingine,mana hapa siwezi tena mimi....ila naumia jamani dahh.,mana i took sometime,natamani tungeendelea ila kashakata kamba and he doesnt seem interested tena,
Ukipita niachie japo a comforting word,au ukijiskia kutukana si mbaya pia yote maisha.....

Mh! Acha niendelee kuchunguza kimyakimya,hii tabia ya kunisema huku sio
 
yeye sio chizi akuache bila sababu tuambie sababu nini kama ume cheat sema dont rush for sorry

Amini Usiamini,Wanaume Huwa Na Sababu Zao Binafsi Hata Mwanamke huezi jua
 
Basi pole sana dear..me mwezi uliopita nilikuwa disappointed sana kwa mpenz wangu eti aliniomba hela huku akijua nimefiwa na nimetoka kwenye msiba wala ofisini sijaenda..Kiukweli nilimuacha kimya kimya na tarehe 10 mwezi huu ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa nikampotezea..Namchukia sana

poleh sana kwa msiba ndugu...nimekulia familia ambayo for various reasons baba sio mtoaji sana wa hela kwa mama,nimejiufunza kujitegemea mahitaji yangu mapema sana,sijui wanaume wengine kama ni watoaji,nikipewa nashukuru, hadi nikitamka mwenyewe naomba kitu flani basi nina hali mbaya kwelikweli
 
pole mwenzangu karibu tumshirikishe mungu hasa katika kipindi kigumu tulicho nacho tuombe bila kukoma,nakusihi usikaribishe uhusiano mwingine kwa sasa pumnzisha moyo wako,najua ni vigumu but litapita tu jipe moyo mimi nina mwezi sasa toka nimeumizwa lakini kadri ck zinavyozidi kwenda na mshukuru Mungu kwa kila jambo.cha msingi ukubali ukweli wa mambo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom