Pole zako nyingi chezeya kupenda na kupendwa.
Pole sikiliza mwimbo wa mwasiti serebuka i beleive utafarijika
Pole, angalia mbele zaidi kuna wako atakuja.
Ulipokuwa unaandika ulijisikia raha ukasahau kuwa maneno huumba na uliyoyasema yametimia
Tatizo anakuja lini na utamjuaje km ndie
Nimehukumu wapi? amejihukumu mwenyewe mimi nafanya kumkumbusha maana binadamu tunasahau kuwa maneno huumba,aliyoyasema ndiyo yaliyotokea mimi nimehukumu wapiAcha Kuhukumu
Wadau wa JF za jioni,
nafikiri it's safe kusema kwamba kibuti ndo nishapigwa...japo cha kimya kimya,nimejiongeza kusoma alama za nyakati ,na ukizingatia mzigo ndo alishachukua mhh sina jipya tena mtoto wa watu....
Nishamuweka moyoni,i loved every moment,inaniuma sana alivojikata polepole mana text,simu hazijibiwi na watsap namuona ...kumfatilia mtu na msg siku nzima siwezi mwenzenu...
Napendwa na wengi ,ila ninakopenda sipendwi...
Maybe kuna sehemu nilikosea,najiuguza hapa kwenu wana JF nisahau maumivu,mana hata mabest zangu kuwaambia siwezi,watanicheka,ndugu watanishangaa,bora hapa siwajui hamnijui........
Eh Mungu nisaidie nije nipate mwingine,mana hapa siwezi tena mimi....ila naumia jamani dahh.,mana i took sometime,natamani tungeendelea ila kashakata kamba and he doesnt seem interested tena,
Ukipita niachie japo a comforting word,au ukijiskia kutukana si mbaya pia yote maisha.....
Nimehukumu wapi? amejihukumu mwenyewe mimi nafanya kumkumbusha maana binadamu tunasahau kuwa maneno huumba,aliyoyasema ndiyo yaliyotokea mimi nimehukumu wapi
ahsante kwa poleh,zanzibar pananitamanishaaa..."napata shida sana kuomba mwanaume hela"
Nimeipenda hiyo phrase hapo juu, bilashaka ww ni binti wa pekee sana ktk karne hii.
Pole mdogo/dada yangu badiebey...just let him go, kama u were meant to be together atarudi tu, but if u were not, haitakaa mrudiane.
Kama una nafasi week end ijayo u can join me, ntaenda Zanzibar ijumaa na kurudi jumapili, unaweza kuja na rfk yako yoyote wa kike nitawa-sponsor ila usiogope-no strings attached. Haka kasafari kanaweza kukusaidia usahau machungu.
Wadau wa JF za jioni,
nafikiri it's safe kusema kwamba kibuti ndo nishapigwa...japo cha kimya kimya,nimejiongeza kusoma alama za nyakati ,na ukizingatia mzigo ndo alishachukua mhh sina jipya tena mtoto wa watu....
Nishamuweka moyoni,i loved every moment,inaniuma sana alivojikata polepole mana text,simu hazijibiwi na watsap namuona ...kumfatilia mtu na msg siku nzima siwezi mwenzenu...
Napendwa na wengi ,ila ninakopenda sipendwi...
Maybe kuna sehemu nilikosea,najiuguza hapa kwenu wana JF nisahau maumivu,mana hata mabest zangu kuwaambia siwezi,watanicheka,ndugu watanishangaa,bora hapa siwajui hamnijui........
Eh Mungu nisaidie nije nipate mwingine,mana hapa siwezi tena mimi....ila naumia jamani dahh.,mana i took sometime,natamani tungeendelea ila kashakata kamba and he doesnt seem interested tena,
Ukipita niachie japo a comforting word,au ukijiskia kutukana si mbaya pia yote maisha.....
yeye sio chizi akuache bila sababu tuambie sababu nini kama ume cheat sema dont rush for sorry
Basi pole sana dear..me mwezi uliopita nilikuwa disappointed sana kwa mpenz wangu eti aliniomba hela huku akijua nimefiwa na nimetoka kwenye msiba wala ofisini sijaenda..Kiukweli nilimuacha kimya kimya na tarehe 10 mwezi huu ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa nikampotezea..Namchukia sana