fidel castro wapili
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 3,436
- 2,818
Madini yetu yanapigwa mnada Dubai hilo hamlioni?
Hana lolote huyo zaidi ya chuki binafsi tu kwa Hayati JPM.Unasubiri nini kuyafukua ili tulie sana?
Ukishaweza kuonyesha trillions alizofisadi JPM zilitoka wapi usisahau kunishtua KAMANDA!!
Data za kupikwa hizo, stuka NduguBalile: Magufuli katutenda, deni la nje lafikia shilingi Trillion 78
Magufuli katutenda deni la taifa, trilioni 78 Samia msalabani Jamhuri October 26, 2021 Na Deodatus Balile Kazi hii ya uandishi wa habari moja ya majukumu yake ni kuanika ukweli minong’ono inapotawala katika jamii. Kwa sasa kuna minong’ono mingi. Minong’ono imeanza baada ya Rais Samia Suluhu...www.jamiiforums.com
Usiku ushaingia kalinde kaburiLabda wawekezaji wa unga na matapeli,tuambie ni mwekezaji yupi unayemjua aliyekimbia?mtu ana backer ya kuchoma mikate na mandazi,biashara ikienda vibaya mnaanza kusema mwekezaji kafunga biashara na kukimbia,kama wawekezaji kukimbia mbona hata sasahivi wanakimbia Uber na Backers wamesema wanafunga biashara zao nchini.
Mkuu hayo niliyoandika hapo ni kwa mujibu wa hao wanye chuki na JPM na wala sio mimi,hapa ninachofanya ni kuwakumbusha tu uongo wao
Ninavyoguswa kwa uchungu wa ile kauli ya Hayati JPM "Nimesakrifai maisha yangu kwaajili ya wa-TZ maskini" nikajikuta nitakufuru hadi nimeamua kukaa kimya tu.Hawanauwezo wakijibu sawali kamahilo.
Haya majitu sijui akili yamezikalia""
Magu alifanya miradi yakutisha na mambomengi ya maendeleo wakayaona kwamacho wakakosa hoja wakaja na ujinga kwamba eti hawataki maendeleo ya vitu kama bwawa la nyerere, ubungo flyover, tazara barabara kama ya kimara mail moja.
Daraja la busisi,mastendi ya bus, ndege naviwanja vyake namengine mengi hayaelezeki wakasema hawataki hayoyote wanataka maendeleo ya watu sio vitu.
Vitu walivyo viona na wakasema hawavitaki hawasemi viligharimu sh, ngapi' saizi wanasema hakufanya chochote alikuwa muizitu, hawa watu ni matope kabisa.
Ili tujue kama uchumi ulikuwa Bora lazima uniambie alikuta maskini wangapi na kawatoa wangapi kwenye umaskini..
Sasa na wewe tumiradi huto 3 sio twa kupigia kelele kwa miaka 5..
Pili miradi mingi zikiwemo stand na masoko CAG anasema hazina tija kwa sababu hata hazitumiki ilivyokusudiwa awali kwa hiyo is like pesa zimepotea eg Ndugai market,stand kama ya Sumbawanga,soko la kisutu nk..
Hiyo ya eti watumishi salary zilipita mwezi huo ni uongo,mimi ni mtumishi sio tuu tulilipwa kwa wakati bali tuliongezewa salary kila mwaka na kupanda madaraja...
Sasa mbona nyie mnataka Samia amalize miradi yote aliyoiacha Mwendazake kwa mwaka mmja na aanzishe miradi mingine mikubwa..
Tunaposema Magufu aliharibu uchumi tunamaanisha,sekta binafsi ya ujenzi ilikufa refer bei za viwanja kupomoka, biashara kufungwa,posta kubaki nyeupe,majengo na nyumba kupigwa bei na banks kwa sababu watu walishindwa marejesho na bado hazikuuzika..
Pili uwekezaji ulianguka,ajira zikapotea ikabakia kila mtu machinga ilimradi kudunduliza..
Mazao ya kilimo yaliporomoka bei kama mbaazi,ufuta,korosho nk..
Kiujumla list ni ndefu,huko maofisini hadi pesa za kuendesha ofisi hazikuwepo..
Ujenzi unaousema ni ule ulikuwa unafanywa na mashirika ya serikali na Magufuli alitegemea pesa zaidi ya gold,utalii na bandari/ logistics..
Hali ilipozidi kudorora ndio kukamua machinga kwa 20,000 kukaanza,kupora wafanyabiashara pesa,kubabimbikia Kodi kwa argent notice nk nk..
Hata kama ndizo chuki lakini daaah....Alipora kwa wafanyabiashara..
Pili kutimiza wajibu wake hakujuatify wizi.
By the way alipokea Nchi ikiwa vizuri kiuchumi na watu Wana pesa ndio maana alipata hizo pesa ..
Ila sasa alipoharibu ndio kaanza kubambikia watu kesi,Kodi,kupora na upuuzi kama huo..
Hadi Samia anachukua Nchi ilikuwa imefikisika lakini kwa ubunifu na ujasiri imerudi kiasi kwenye mstari..
Mwisho Kati ya vyote ukivyotaja hapo juu ni ndege tuu ndio mradi uliokamikika ila miradi iliyobakia hakuna hata mmja aliuacha ukiwa umefikia hata 30%..
Ninavyoguswa kwa uchungu wa ile kauli ya Hayati JPM "Nimesakrifai maisha yangu kwaajili ya wa-TZ maskini" nikajikuta nitakufuru hadi nimeamua kukaa kimya tu.
Data za kupikwa hizo, stuka Ndugu
Umvevuta skunk nini? Na Kikwete aliiba kiasi gani?Kwa mujibu wa HADITHI zenu za karibuni ni kwamba JPM alikuwa bonge la kiongozi FISADIA katika hii nchi haijawahi kutokea ,
yaani kwa hesabu za haraka haraka ndani ya utawala wake wa miaka 6,ameiba zaidi ya 7trillion za kitanzania
Sawa,yafuayato yote ni kwa mujibu wenu nyinyi wenyewe tangu JPM akiwa hai
Katika kipindi cha utawala wake UCHUMI wa nchi ulikufa kabisa kutokana na sera zake mbovu na CHUKI zake kwa MATAJIRI,hali iliyopelekea wawekezaji kuondoka na kufunga viwanda vyao
Wawekezaji wapya waliogopa kuja nchini kutokana na utawala wake wa kidikteta
Aliharibu ama kuuwa kabisa sekta binafsi nchini hivyo kupelekea nchi kuwa na mzunguko mdogo wa kifedha mtaani,yaani hali ilikuwa mbaya
Alikuwa akipika takwimu kuonyesha uchumi unakuwa ili hali uchumi ulikuwa hoi bin taaban
Maduka makubwa kariakoo na karibu nchi nzima yalikuwa yakifungwa, na ndio sababu
Alikuwa akipika takwimu za makusanyo kila mwezi kwa kushirikiana na TRA ili hali makusanyo yalikuwa haba kabisa
Alitengwa na jamii za kimataifa na kunyimwa misaada kutokana na kuminya demokrasia nchini
Alikuwa akilipa madeni kimya kimya kutokana na amri za mahakama za kimataifa baada ya kukurupuka kuvunja mikataba ya kampuni mbali mbali
Aliua kabisa bandari ya Dar kiasi kulikuwa hakuna kabisa meli zilizokuwa zinakuja hapo bandarini(wafanyabiashara walikimbilia bandari za Mombasa,Msumbiji na DURBAN)
Alikuwa anakopa sana mikopo isiyo rafiki kwa nchi ili
Kununua ndege kwa cash
Kununua wapinzani
Kuhamishia serikali Dodoma
Kujenga bwawa la Nyerere
Kujenga SGR
Kujenga daraja la Busisi(kuwafurahisha wakwe)
Kujenga airport ya chato (international?)
Na mambo mengine kibao kama kujenga barabara,hospitali,madaraja,kukarabati viwanja vya ndege nk nk( tunataka maendeleo ya watu na sio vitu ....mnakumbuka?)
Sasa swali langu kwenu WAUNGWANA, kutokana na hayo yote hapo juu mliyokuwa mkituambia (msidhani tumesahau)
Je hayo matrillions aliyofisadi JPM yalikuwa yanatokea wapi..???
Tujikumbushe Mmbunge wa Chalinze na Naibu waziri wa ardhi akisimulia Chalinze aikuwa na kiwanda toka kuanzishwa kwa dunia mpaka alipoingia Magufuli na kushawishi wawekezaji wa kimataifa kwenda.
Umvevuta skunk nini? Na Kikwete aliiba kiasi gani?
TZ iliingiaje uchumi wa kati ikiwa biashara zilikufa kabisa, au ndiyo zilikuwa data za kupikwaWafanyabiashara gani while kipindi chake ndio biashara zilikufa kabisa ?
Wewe unaweza muamini Mwendazake? Yaani yule alivyokuwa muongo na kupenda propaganda na kuabudiwa?Hata kama ndizo chuki lakini daaah....
Mbona JPM mwenyewe alikiri aliipokea nchi kwa Mh Rais mstaafu JK ikiwa haina pesa hazina hata za kuiongoza nchi kwa siku 9
Na hiyo video ipo hata YouTube
Na wewe una maswali ya kitoto,kwamba pesa za kuiba zilitoka wapi?Mkuu tufanye unayoyasema hapa juu ya Magu yote kweli,
Sasa naomba utuambie hizo trillions mnazosema JPM kazifisadi zilitoka wapi?ukizingatia mambo yalikuwa kama ulivyodai hapo juu!!
Sasa hapa ndio umejibu nini?
alafu huoni noma wewe mtu na akili zako timamu kusema 'Zitto kasema....'
Lini utajifunza na kujua kutumia akili zako mwenyewe?
Pombe aliharibu nchi sana.Zitto ni mdini na mkabila sn